NAHINGA
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 1,019
- 338
Mkuu inawezekana wameambiwa watikise kiberiti, possibly wamekuwa kimejaa, ndio maana nikasema Chadema wamekomaa hawatikisiki.
Ni kweli mkuu kiberiti kimejaa na wameshapagwa tayari.
Mkuu inawezekana wameambiwa watikise kiberiti, possibly wamekuwa kimejaa, ndio maana nikasema Chadema wamekomaa hawatikisiki.
Hutakaa uelewe kwasababu umefungwa ufahamukiufupi hujaeleweka mtoa mada..
Hovyo kabisa akili yako. Kwa hiyo wewe huwezi fikisha ujumbe mpaka @Pasco aandike ndio utaona ujumbe umefika?Ben yupo wapi hilo ndo la msingi...ngonjera zingne hatuzitaki..chadema walibidi watoe tamko kuwa MTU wao amepotea..kama PA wa Chair wamekaa kimya je wewe mwanachama wa Nzega watakukumbuka hawa watu..! Usitake kujitetea kwa ujinga..km kweli Ben amepotea na mmekuwa kimya tumewadharau..
Pasco andika chochote
Kama umekubali kulawitiwa mwenyewe unamwambia nani tena?Kwa hvo hata ukilawitiwa nyamaza ili kuilinda nafsi yako, naomba usiisome biblia kinyumenyume hata Yesu alijua anaipoteza nafsi yake kwa kuwaambia iliyo kweli masadukayo na mafarisayo
Kweli CHADEMA mmebadilika, hongera Katibu Mkuu Mashinji kwa kuja na strategies mpya.
Mwanzo sikuelewa kwanini mko kimya. Vijana wa Lumumba walikuwa wanataka CHADEMA kitoe tamko, walipoona business as usual wakaanza kudai kwanini Mbowe amesafiri eti akatishe ziara arudi kutoa tamko. Kumbe walitaka muingie kingi washangilie.
Ingekuwa enzi zile za daktari leo mngekuwa barabarani wengine wangekuwa Muhimbili wamevunjwa miguu wengine sentro polisi, Sirro angepanda cheo, Makonda angekuwa anashinda Clouds. Mmeshinda.
Good strategy, keep low profile talk less act more, waacheni wenyewe ndio wahangaike wasijue kesho mmepanga nini. Msiombe kukutana nao barabarani mkutane mahakamani au bungeni.
Mwenye akili ameelewa.
Siasa za leo sio za kupayuka ni strategy, kwa sasa chama kama Chadema hakina haja ya kupoteza muda na nguvu nyingi kuelezea kushindwa kwa sera za CCM watu wenyewe wanaona.Wewe huzungumzii siasa, unazungumzia ushindani wa kibiashara. Siasa u keep low profile si unataka kujipeleka kaburini mwenyewe?
mmekutana wawili mliosoma kama sendeka naonaWe raia ni unaakili sana, Laiti kama ungelikuwa umesoma sana basi ungelikuwa "Ole Sendeka"
Ben yupo wapi hilo ndo la msingi...ngonjera zingne hatuzitaki..chadema walibidi watoe tamko kuwa MTU wao amepotea..kama PA wa Chair wamekaa kimya je wewe mwanachama wa Nzega watakukumbuka hawa watu..! Usitake kujitetea kwa ujinga..km kweli Ben amepotea na mmekuwa kimya tumewadharau..
Pasco andika chochote
Mkuu yanini kwenda barabarani kuandamana huku ukijua polisi inasubiri uweke mguu serikali ipate sababu ya kukupotezea muda kukuhangaisha mahakamani, kwanini huo muda usiutumie kujenga chama.Quinine umeandika jambo jema na zuri ajabu lakini litawaduwaza hata "watu wetu" ingawa kwa "wale" utakuwa ni ukweli mchungu wasiotaka kuumeza!!
Hatari sana "Ole Sendeka"We raia ni unaakili sana, Laiti kama ungelikuwa umesoma sana basi ungelikuwa "Ole Sendeka"
Binafsi sikuipenda CDM ya Dr. Slaa... Ilikua ni ya kiharakati kuliko kimkakati...
Ndio maana operesheni sangara na M4C hazikuzaa matunda waliishia kupata kata tatu kwa chopa tatu!!
Ukweli usemwe pamoja na yote mazuri ya Dr Slaa alikua na udhaifu Mkubwa sana kiutendaji.
Usingeweza kuipenda maana kipindi hicho ulikuwa CCM ulikuwa unaimba nyimbo za kuisifu serikali na kutukana wapinzani mpaka ulipoletwa na mafuriko ya ULIPO TUPOBinafsi sikuipenda CDM ya Dr. Slaa... Ilikua ni ya kiharakati kuliko kimkakati...
Ndio maana operesheni sangara na M4C hazikuzaa matunda waliishia kupata kata tatu kwa chopa tatu!!
Ukweli usemwe pamoja na yote mazuri ya Dr Slaa alikua na udhaifu Mkubwa sana kiutendaji.
Chama cha siasa ni dynamic kinabadilika kutokana na mazingira, hata CCM ya leo sio ile ya akina Kawawa, leo ukimfufua Sokoine na kumwambia hii ndio CCM hatokubali.Ninyi hamuaminiki leo hii ni kauli ya cdm?? kwakweli napata wasiwasi Magufuli akistaafu akihamia kwenu mtamnadi kwa mbwembwe kali yaani msimamo hakuna kabisa.