Kweli CHADEMA mmebadilika, hongera Katibu Mkuu Mashinji kwa kuja na strategies mpya.
Mwanzo sikuelewa kwanini mko kimya. Vijana wa Lumumba walikuwa wanataka CHADEMA kitoe tamko, walipoona business as usual wakaanza kudai kwanini Mbowe amesafiri eti akatishe ziara arudi kutoa tamko. Kumbe walitaka muingie kingi washangilie.
Ingekuwa enzi zile za daktari leo mngekuwa barabarani wengine wangekuwa Muhimbili wamevunjwa miguu wengine sentro polisi, Sirro angepanda cheo, Makonda angekuwa anashinda Clouds. Mmeshinda.
Good strategy, keep low profile talk less act more, waacheni wenyewe ndio wahangaike wasijue kesho mmepanga nini. Msiombe kukutana nao barabarani mkutane mahakamani au bungeni.
Mwenye akili ameelewa.
Mwanzo sikuelewa kwanini mko kimya. Vijana wa Lumumba walikuwa wanataka CHADEMA kitoe tamko, walipoona business as usual wakaanza kudai kwanini Mbowe amesafiri eti akatishe ziara arudi kutoa tamko. Kumbe walitaka muingie kingi washangilie.
Ingekuwa enzi zile za daktari leo mngekuwa barabarani wengine wangekuwa Muhimbili wamevunjwa miguu wengine sentro polisi, Sirro angepanda cheo, Makonda angekuwa anashinda Clouds. Mmeshinda.
Good strategy, keep low profile talk less act more, waacheni wenyewe ndio wahangaike wasijue kesho mmepanga nini. Msiombe kukutana nao barabarani mkutane mahakamani au bungeni.
Mwenye akili ameelewa.