Kutokana na siasa za msimu za Tanzania; wachambuzi wa mambo sasa wanajiuliza sasa chadema itatoka na singo gani ama agenda ipi baada ya agenda zake kuchuja. Wiki moja iliyopita CDM ilivuma na singo ya kubadilisha baraza la Mawaziri but agenda hiyo imechuja baada ya JK kubadili baraza la mawaziri. Agenda na nyimbo nyingine zilizochuja ni zile za kampeni ya Vua Gamba vaa Gwanda ikiwa ni pamoja na wanachama maamluki wa ccm kuhamia chadema, agenda hiyo imeshazoeleka maskioni mwa wa Tanzaj
inasikitisha sana kuona bado kuna baadhi ya watu hawaoni adui wa tanzania ninani,..! Mwizi ni mchaga au mwizi ni sisiemu?mnatumia masaburi kufikiri,wachaga wapo mpaka kijijini kwako,hebu linganisha hali yao kiuchumi alafu linganisha na hali yako na wanakiji wa hapo alafu usinipe jibu,unateswa na ukabila na udini tatizo lako,usibishane na wakati when da changes its comes,nothing can opose dat changes coz its like storm onthe ocean