Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Hao ni matapeli wapo fb, wanatumia majina ya viongozi, hasa wabunge,
Rogwa utume hiyo laki mbili ,
Mbona serikali ilishawakana sana hao jamaa, walikuwa na njia ya vikoba, baada ya vyuma kukaza ndio wamekuja na Gia nyingine ila kupata grisi,
Uliona wapi mkopo hauna masharti, yaan wanakutamanisha milion 2 kwa laki 2 , million 10 kwa million 1,
Rogwa utume hiyo laki mbili ,
Mbona serikali ilishawakana sana hao jamaa, walikuwa na njia ya vikoba, baada ya vyuma kukaza ndio wamekuja na Gia nyingine ila kupata grisi,
Uliona wapi mkopo hauna masharti, yaan wanakutamanisha milion 2 kwa laki 2 , million 10 kwa million 1,