CHADEMA: Rushwa ni sababu ya wabunge mizigo?

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
16,003
Habari za jumamosi,

Nimekuwa nikitafakari sana juu ya ripoti iliyotolewa na gazeti la rai kuwa viongozi CHADEMA walichukuwa rushwa ya hadi milioni 10 ili kutoa nafasi ya kugombea ubunge.

Taarifa imewanukuu "Sugu" na Cecil ambao ni wabunge wa CHADEMA wakiwatuhumu viongozi wa CHADEMA kwa mchezo mchafu. Nimejiuliza masuala yafuatayo;

1.Je hii ni sababu ya kupata wabunge wadhaifu au mbumbumbu ambao hawanauwezo kuongoza kamati za bunge?

2.Je ni chanzo cha kupata wabunge wenye michango ya matusi... "shanga na chupi"...ikumbukwe tu Mbunge huyu bingwa wa matusi ana kifungo cha nje kwa kosa la lugha za matusi?

3.Kwanini Ruth Mollel aliyewahi kuwa katibu mkuu serikalini asiwe mwenyekiti PAC?Huyu ni mweledi kuliko wabunge wote wa UKAWA ukiwachanganya. Haaminiki?

Tujadili mada tuepuke kelele.
 
rushwa haina chama...
kweli mkuu. kama ukifanya uchunguzi wa wabunge wetu wengi kuanzia kwenye uteuzi ndani ya vyama vyao (rejea malalamiko mengi ya wanachama wa ccm kuhusu rushwa ktk kura za maoni kupata wagombea 2015) hadi kwenye uchaguzi mkuu rushwa huwa inatamalaki sana.vyama vyote havikwepi hili.
 
kweli mkuu. kama ukifanya uchunguzi wa wabunge wetu wengi kuanzia kwenye uteuzi ndani ya vyama vyao (rejea malalamiko mengi ya wanachama wa ccm kuhusu rushwa ktk kura za maoni kupata wagombea 2015) hadi kwenye uchaguzi mkuu rushwa huwa inatamalaki sana.vyama vyote havikwepi hili.
Tuanzie hapa leo,nimeleta hoja ili tujue ni kwanini na chadema na wafanya mambo ya aibu?...rushwa...tusihalalishe uovu kwa uovu.
 
Umetumia Kigezo gani au kipimo gani kujua kuwa akili ya Ruth Mollel ni sawa na wabunge wote wa UKAWA ukiwachanganya pamoja? Unajua utakuwa na hekima na busara na watu watakuona hivyo ukijaribu kuficha robo tu ya ujinga wako? Wewe mwenyewe kwa kauli hiyo tu mwenye akili keshajua una matatizo ya akili.Akili hazijumlishwi kama gunia la chumvi wewe.Ama kweli ndio maana takwimu za NBS zimetuonyesha vijana wengi wa kitanzania tunapenda kulala kumbe sio kupenda ni akili zetu ziko kushoto na haziwezi fikiri sawa sawa.Nitashanga kama mtu atanibishia mwandishi hayuko kwenye coma.
 
Umetumia Kigezo gani au kipimo gani kujua kuwa akili ya Ruth Mollel ni sawa na wabunge wote wa UKAWA ukiwachanganya pamoja? Unajua utakuwa na hekima na busara na watu watakuona hivyo ukijaribu kuficha robo tu ya ujinga wako? Wewe mwenyewe kwa kauli hiyo tu mwenye akili keshajua una matatizo ya akili.Akili hazijumlishwi kama gunia la chumvi wewe.Ama kweli ndio maana takwimu za NBS zimetuonyesha vijana wengi wa kitanzania tunapenda kulala kumbe sio kupenda ni akili zetu ziko kushoto na haziwezi fikiri sawa sawa.Nitashanga kama mtu atanibishia mwandishi hayuko kwenye coma.
Kwa mujibu wa kamanda sumaye.."ukawa haina watu wenye uwezo wa kuongoza serikali,hawajui hata majukumu ya katibu..ndio maana nimejiunga ili kuwasaidia"...huyu mama ni msomi na ameshika madaraka ya ukatibu mkuu kwa muda mrefu(ofisi ya makamu wa raisi)..kwa hiyo nimeeleza kutokana na msingi wa kauli za makamanda.
 
Ni vema CDM ikakaa na kuangalia ni nani anaweza kuwa Mwenyekiti wa PAC kwa kuwa hili dubwana la Lugumi lingetumbuliwa fasta
 
Ni vema CDM ikakaa na kuangalia ni nani anaweza kuwa Mwenyekiti wa PAC kwa kuwa hili dubwana la Lugumi lingetumbuliwa fasta
Umenena,sioni sababu ya mbowe kubeza akili za wabunge wa ukawa,ikiwa Aeshi Hillary ambaye ni CCM ameonyesha weledi na uzalendo.Suala hapa ni uzalendo na sio vinginevyo.
 
Umetumia Kigezo gani au kipimo gani kujua kuwa akili ya Ruth Mollel ni sawa na wabunge wote wa UKAWA ukiwachanganya pamoja? Unajua utakuwa na hekima na busara na watu watakuona hivyo ukijaribu kuficha robo tu ya ujinga wako? Wewe mwenyewe kwa kauli hiyo tu mwenye akili keshajua una matatizo ya akili.Akili hazijumlishwi kama gunia la chumvi wewe.Ama kweli ndio maana takwimu za NBS zimetuonyesha vijana wengi wa kitanzania tunapenda kulala kumbe sio kupenda ni akili zetu ziko kushoto na haziwezi fikiri sawa sawa.Nitashanga kama mtu atanibishia mwandishi hayuko kwenye coma.
mshaanza kutukanana ngoja tuwape uwanja kwanza.mkimaliza tuendelee na mada.
 
mshaanza kutukanana ngoja tuwape uwanja kwanza.mkimaliza tuendelee na mada.
Hao ndivyo walivyo...kubenea majuzi "kala" kifungo cha miezi mitatu kwa kosa la kuporomosha matusi..ni moja ya somo ambalo lazima wafaulu ili kuwa makada.
 
Mtoa mada ningekuona unaakili kama ungechambua rushwa kwa vyama vyote,siyo kuegemea upande mmoja tuu.
 
Mtoa mada ningekuona unaakili kama ungechambua rushwa kwa vyama vyote,siyo kuegemea upande mmoja tuu.
sababu wote tunajua CCM ni kiini cha rushwa kwahiyo tulidhani CDM wasafi, mtoa mada ametumia kigezo hicho na kuichagua CDM maana ndicho chama muafaka kuchukua madaraka na kina wabunge wengi buneni na siyo NCCR.
 
sababu wote tunajua CCM ni kiini cha rushwa kwahiyo tulidhani CDM wasafi, mtoa mada ametumia kigezo hicho na kuichagua CDM maana ndicho chama muafaka kuchukua madaraka na kina wabunge wengi buneni na siyo NCCR.
Asante kwa kumuelimisha.
 
Mtoa mada ningekuona unaakili kama ungechambua rushwa kwa vyama vyote,siyo kuegemea upande mmoja tuu.
Nimetowa mada hii kutokana na taarifa za rushwa zilizoripotiwa na wabunge wa chadema dhidi ya uongozi.
 
Back
Top Bottom