Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,382
- 6,947
Kwa ngazi ya viongozi wa serikali za mitaa ndio msingi wa kuja kupata wabunge ambao wataisimamia vyema serikali.
Tukiwa na bunge imara lenye meno tutaweza kuisimamia serikali.
Njia pekee ni kuichagua CHADEMA na si wapinzani wengine.
Viongozi wa serikali za mitaa watatengeneza njia ya kupata wabunge imara.
Nawakilisha.
Tukiwa na bunge imara lenye meno tutaweza kuisimamia serikali.
Njia pekee ni kuichagua CHADEMA na si wapinzani wengine.
Viongozi wa serikali za mitaa watatengeneza njia ya kupata wabunge imara.
Nawakilisha.