CHADEMA Rungwe kwawaka moto, wagombea waanza jaramba

Hemed Mzee Hemed

Senior Member
Jun 26, 2013
186
41
Jimbo la Rungwe magharibi ambalo kwa sasa Mbunge wake ni Profesa David Mwakyusa, litakuwa na moto mkali wa kisiasa mwaka huu. Mpaka sasa wanachama 18 wa CHADEMA wameonyesha nia ya kuwania ubunge katika jimbo la Rungwe Magharibi, mkoani Mbeya. Wengi zaidi wanatarajiwa kujitokeza.
Waliojitokeza mpaka sasa ni:
1. Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Mbeya Mjini, John Mwambigija, almaarufu - Mzee wa upako;
2. Diwani wa kata ya Mwakibete, jijini Mbeya - Lucas Mwampiki;
3. Yusufu Asukile - Ambaye pia alikuwa mgombea 2010;
4. Sophia Mwakagenda - Mwanachama Mwandamizi;
5. Tabia Mwakikuti;
6. Bertha Mwakasege;
7. Laurent Mwakalibule;
8. Barnaba Pamboma;
9. Wilfred Mwaipyana;
10. Tibandelage Kalinga;
11. Richard Mugogo;
12. Danford Kifukwe;
13. Ahobokile Mwaitenda;
14. Ayubu Mwakisale;
15. Festo Mwaipaja;
16. Richard Mbalase;
17. Deo Mwailenge, na
18. Mwaipasi

Hao ni wana-CHADEMA wanaotishia ubunge wa Mwakyusa na wana-CCM wengine.
Nani ataibuka kidedea na kupeperusha bendera ya CHAMA hicho? Tusubiri.
SOURCE: RAIA MWEMA - Felix Mwakyembe, 0713-290487 - Toleo la 394, Feb 25, 2015

NB: Pia kuna watia nia wengine wajimbo hilo kwa chama hicho hicho mitandaoni:
 
Hiyo ligi nimeipenda. Sasa hivi hakuna kupokea Magamba. Mwailenge naye yupo ? Kijana anatisha !!
 
Ila mwakyusa alishasema hagombei mwaka huu ! Atakayegombea Ni dr ulisubisya mpoki kama mambo yakienda sawa !
 
Kumbukumbu ninazoziona hapa katika kura za maoni CCM ilikuwa na Magoba, Kasesela, na Mwakyusa na CHADEMA ilikuwa na mmoja tu YUSUPH Suleiman

ni kweli lakini huyu alikuwa mbunge wa kigamboni na ni mkazi wa mbagala kiburugwa , hata kama Rungwe ndio alikotokea lakini ikumbukwe kwamba aliisaliti na kuamua kuikumbatia kigamboni.
 
Basi Crazy GK atafaa

yuko chama gani ? maana tuliambiwa humuhumu kwamba wakazi wa upanga kwa hofu ya kuporwa nyumba wako ccm kilazima ! ikumbukwe kwamba bila kuwa UKAWA huwezi kupata jimbo mkoa wa Mbeya .
 
Jimbo la Rungwe magharibi ambalo kwa sasa Mbunge wake ni Profesa David Mwakyusa, litakuwa na moto mkali wa kisiasa mwaka huu. Mpaka sasa wanachama 18 wa CHADEMA wameonyesha nia ya kuwania ubunge katika jimbo la Rungwe Magharibi, mkoani Mbeya. Wengi zaidi wanatarajiwa kujitokeza.
Waliojitokeza mpaka sasa ni:
1. Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Mbeya Mjini, John Mwambigija, almaarufu - Mzee wa upako;
2. Diwani wa kata ya Mwakibete, jijini Mbeya - Lucas Mwampiki;
3. Yusufu Asukile - Ambaye pia alikuwa mgombea 2010;
4. Sophia Mwakagenda - Mwanachama Mwandamizi;
5. Tabia Mwakikuti;
6. Bertha Mwakasege;
7. Laurent Mwakalibule;
8. Barnaba Pamboma;
9. Wilfred Mwaipyana;
10. Tibandelage Kalinga;
11. Richard Mugogo;
12. Danford Kifukwe;
13. Ahobokile Mwaitenda;
14. Ayubu Mwakisale;
15. Festo Mwaipaja;
16. Richard Mbalase;
17. Deo Mwailenge, na
18. Mwaipasi

Hao ni wana-CHADEMA wanaotishia ubunge wa Mwakyusa na wana-CCM wengine.
Nani ataibuka kidedea na kupeperusha bendera ya CHAMA hicho? Tusubiri.
SOURCE: RAIA MWEMA - Felix Mwakyembe, 0713-290487 - Toleo la 394, Feb 25, 2015

Chama kimekuwa for sure
 
Back
Top Bottom