Kiby
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 6,897
- 4,620
Kwa kweli mimi sio mwanasiasa lakini ni mwanajamii anaeshiriki moja kwa moja mafanikio ama maangamizi ya taifa.
Kama kutakuwa na shule bora, hospitali bora, nishati bora, maji safi nk ni unafuu wangu wa maisha yangu binafsi na kama ni kinyume chake ni msiba wangu binafsi kama ilivyo hivi sasa chini ya serikali ya sisiem.
Hivyo kwa jinsi nilivyowashuhudia Chadema jangwani leo hii nimejiridhia kuwa ukombozi wangu na watoto wangu upo mlangoni na hakuna mwenye ubavu wa kuuzuia tena.
Hivyo ninalotaka kusema ni hile NINA FURAHA SANA NIMETUMA MCHANGO WANGU CHADEMA KUPITIA MPANGO WA M-PESA WALIOZINDUA LEO. JIBU NILILOPATA NI HILI ''G93ZR300 IMETHIBITISHWA Tsh,..... IMETUMWA KWA CHADEMA KWENYE AKAUNTI NO, .... TAREHE 26/5/12 SAA 8:48PM''
Nimefurahi sana kuwa mmojawao wa wenye kuchangia ukombozi wa mlalahoi. Wewe je utataka kuwa mmoja wao?
.
Kama kutakuwa na shule bora, hospitali bora, nishati bora, maji safi nk ni unafuu wangu wa maisha yangu binafsi na kama ni kinyume chake ni msiba wangu binafsi kama ilivyo hivi sasa chini ya serikali ya sisiem.
Hivyo kwa jinsi nilivyowashuhudia Chadema jangwani leo hii nimejiridhia kuwa ukombozi wangu na watoto wangu upo mlangoni na hakuna mwenye ubavu wa kuuzuia tena.
Hivyo ninalotaka kusema ni hile NINA FURAHA SANA NIMETUMA MCHANGO WANGU CHADEMA KUPITIA MPANGO WA M-PESA WALIOZINDUA LEO. JIBU NILILOPATA NI HILI ''G93ZR300 IMETHIBITISHWA Tsh,..... IMETUMWA KWA CHADEMA KWENYE AKAUNTI NO, .... TAREHE 26/5/12 SAA 8:48PM''
Nimefurahi sana kuwa mmojawao wa wenye kuchangia ukombozi wa mlalahoi. Wewe je utataka kuwa mmoja wao?
.