Uchaguzi 2020 CHADEMA: Orodha ya pili ya wateuliwa ubunge


Nafurahi kuona majimbo mengi wamesimamishwa wanawake hii strategy kuelekea 2025 ni muhim sana.

Pia napongeza kuweza kusimamisha wagombea majimbo yote TZ zile hbr za CCM kupita bila kupingwa zimekua Historia sasa.

NB: Nusrat sijasikia jina lake wala Mwambigija. Hawa wangeingia bungeni kungekua na moto sana.
 
Hakuna mpiga kura mwenye taimu na wagombea ubunge wa Chadema kwasababu kila mtu anajua ni wasindikizaji tu. Subiri wa CCM watakapotoka uone maana ya "Chama chenye mvuto kwa wapiga kura".

TUKUTANE OKTOBA 28!
 
Jimbo la Ngorongoro Chadem wamekosea sana!!..aji jacline swai?!!.. Chadema mnakosea kwenye sehmu za mikakati!..
 
Nafurahi kuona majimbo mengi wamesimamishwa wanawake hii strategy kuelekea 2025 ni muhim sana.

Pia napongeza kuweza kusimamisha wagombea majimbo yote TZ zile hbr za CCM kupita bila kupingwa zimekua Historia sasa.

NB: Nusrat sijasikia jina lake wala Mwambigija. Hawa wangeingia bungeni kungekua na moto sana.

Mkuu Nusraty si wamemtia ndani mwezi sasa?
 
Hakuna mpiga kura mwenye taimu na wagombea ubunge wa Chadema kwasababu kila mtu anajua ni wasindikizaji tu. Subiri wa CCM watakapotoka uone maana ya "Chama chenye mvuto kwa wapiga kura".

TUKUTANE OKTOBA 28!
Funga domo lako. Nyie endeleeni kumtegemea kamanda Siro kuwasemea, CCM chali.
 
Hakuna mpiga kura mwenye taimu na wagombea ubunge wa Chadema kwasababu kila mtu anajua ni wasindikizaji tu. Subiri wa CCM watakapotoka uone maana ya "Chama chenye mvuto kwa wapiga kura".

TUKUTANE OKTOBA 28!
Washindikizaji mnawanunua kwa bei mbaya
 
Ninyi si mlipata wabunge wengi kwa upepo wa Lowassa 2015? Sasa ngoja uone mwaka huu. Wakifika 15 nitakupongeza!
Wishingfull thinking mnashindwa kuelewa kuwa CCM ime expire ipo out of fashion inanunua ndege mbovu
chadema_in_blood___CDyZmSbHK_D___.jpeg
 
Back
Top Bottom