Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,554
- 9,531
Njaa mbaya sana unaweza ukala hata ulimi wako
Wanajivua wenyewe mkuu kwa unafiki na undumila kuwili wao na kuamini maamuzi yote anayofanya Mbowe ni sahihi chamani.Mkuu sio vizuri kuwavua watu nguo mchana kweupe namna hiyo.!
Hii ni hasara kwa Taifa kuwa Na vijana wasio Na msimamo kama hawa.!Hawa jamaa wanadhani wananchi wote ni wajinga kama wao, hivi utawaamini vipi vinyonga kama hawa? Juzi Lowasa akiwa Azam TV alisema kamati kuu ya Chadema ilienda kumuomba akagombee uraisi huko, halafu wakaja na vijimaneno eti wamemhoji juu ya kashifa zinazomkabili baada ya kujieleza ndiyo wakampokea, hivi kweli mtu aliyeenda kumpigia magoti aje kwako utakuwa na nguvu ya kumhoji?
Jamaa kasha wakamata ndiyo maana alipo sasa kama wapo viongozi wa juu Chadema wanakuwa wadogo na wasiyo jiamini kwa kuwatazama tu.
Hahaha janaa akatandika na kimombo"Shame on him and his followers" mi nimequote hapo tu.
Hivi huyu OKW BOBAN SUNZU anaikumbuka hii thread? Au wakati huo alikuwa hajapewa "shekeli" za Mr Richmond!
Upo sawasawa hawa ni vibendera full kufuata mkumboMachadema yote ni manafiki kabisa, news kama hizi yanajifanya hayazikumbuki kabisa! Ama kweli fedha fedheha!
Tena mtego wa nyasi hahahaHahahahahaaaaaaa! Panya kanaswa mtegoni
Kuna uwezekano Huyu Boban kujadiliwa na Mungu mtu MboweBen, unachukulia vipi kauli ya OKW BOBAN SUNZU ?
Unakuta kijana JF kasimamisha vidole kuandika unafiki kama katumwa na mungu,Hii ni hasara kwa Taifa kuwa Na vijana wasio Na msimamo kama hawa.!
Yaani hawajui wanasimamia nini.!
Cha kushangaza sasa hivi mnamuona ndo mkombozi wenu huyu mtu,Mashetani wanaopenda tuendelee kunyonywa wamejipanga ipasavyo kuhakikisha Lowassa ndiye rais 2015, wameziba kabisa masikio kutotaka kusikia vilio vya watanzani. Makanisani, misikitini, vilabuni, vijiweni, maofisini kote wameenea. Wanachojali ni pesa chafu anazotoa kama sadaka inayozidi kuitia laana nchi hii. Ni mioyo iliyokufa tu inayoweza kukubali Lowassa sio fisadi, Baba wa Taifa alisha muona mapema huyu kijana ananuka. Wengi wanasema anaweza kuwa rais, sio kwa sababu anafaa bali ni mwenye mbinu chafu za kishetani kufanya chochote anachoweza, Nape Nnauye shaidi wangu
My Take
CHADEMA kama chama cha wananchi wanyonge, mmetumia mda mwingi kupambanua majanga makuu ya watu wanaoangamiza taifa letu ikiwepo Lowassa na wananchi wamesikia sauti zenu, hivyo tunawaomba kwa nguvu ile ile muitaadharishe jamii juu ya Janga Lowassa kwani kuna kila dalili za kufanya ikulu iendelee kuwa pango la wanyanganyi. Shame on him and his followers
Unafiki na undumi la kuwili ni janga sugu la wazawa!!Hizi Nyuzi zingine sio za kuamusha kabisa, kamanda naona dua zako zilisikika Lowasa hakufakiwa kuwa Rais.
Ama kweli sifa kuu ya Mtanzania ni unafiki.!
Hayo maneno kwenye red makali sana mheshimiwa.
Huyu aliapa Chadema isipomsimamisha Dr Slaa kugombea urais anajitoa Chadema. Wanafikiri tutasahau, yatapita, yatawatafuna hadi watubu!Huyo jamaa ni dodoki la lowassa, cha ajabu siku hizi matusi yake hayo kayahamishia kwa Dr Slaa
Tena mashetani wazeeHahahahaha,,,kwa andiko hili CHADEMA wote akiwemo mleta mada ni mashetani,,
Alafu kumbe huyu OKWI BOBAN SUNZU ndiye **** *******?
Loh,,,,mashetaniiii!!!!,,,,hahahahaha Mungu hamfichii mnafiki,,,,