tocolyitics
Member
- Feb 5, 2012
- 76
- 35
katika kuimarisha chama na kujiandaa na 2015, njooni pia hadi vijijini mkoani simiyu. hapo ndipo majimbo kama Busega, Magu, Bariadi mashariki na magharibi mtaweza kuchukua. watu wana hamu kujoin jeshi la ukombozi ili hawawaoni. kumbukeni mtaji wa magamba umebaki vijijini jamani.