navy boi
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 1,520
- 483
Chadema wapiganie ubunge tu urais ni ngumu, kitendo cha kulialia na kisha kupewa kila wanachokililia kwenye tume,lazima kiwalize mwishoni.
Upo sawa kabisa mkuu
Chadema wapiganie ubunge tu urais ni ngumu, kitendo cha kulialia na kisha kupewa kila wanachokililia kwenye tume,lazima kiwalize mwishoni.