Ongea point, kama huna point usiingie kwenye majadiliano ya watu wenye akili,,Akili zako zimejaa funza tena wachooni
jiwe alikopa kuliko serikali yeyote.Sijui ni mtu mjinga kiasi gani anayeamini kuwa Magufuli hakukopa
Ni rais aliyekopa zaidi ndani ya miaka 5 kuliko Kikwete na Mkapa walivyokopa kwa miaka 10
Hujui hata umeuliza nini kizibo wewe 😂 unatafuta ubishi tuUkoo wenu una msimamo gani? Kwa hio huu nchi ni CDM? hivi post kama hizi huwa zinaruhusiwa vipi?
Ni mtizamo wako tu, hongera kwa kuona iloHii sentensi imeharibu uzi wako.
Unaonekana una ugonjwa wa sukuma gangiasis.
Wewe ni kilaza JPM alikopa mikopo ya Siri kaondoka amekopa karibia Tirioni 18 tukuulize alizipeleka wapi?JPM alipokuwa anasisitiza kupunguza utegemezi wa mikopo kwajili ya maendeleo ya nchi, Chadema walipinga sana na kusisitiza kuwa lazima tukope.
Leo mama anakopa hadi ela ya kununua chumvi mnaona hiyo haifai, sasa mmesimama kumshangilia Ruto anapoongea kauli ileile aliyoongea JPM.
Tupeni msimamo wa chadema kuhusu kukopa maana siku hazigandi maybe baadae mnawezakamata nchi je mtafanya nini katika agenda ya ukopaji?
View attachment 2471740
Unajua maana ya kupunguza utegemezi?Wewe ni kilaza JPM alikopa mikopo ya Siri kaondoka amekopa karibia Tirioni 18 tukuulize alizipeleka wapi?
Alipunguza utegemezi Gani? Rais alidanganya kuwa hakopi tunajenga miradi Kwa pesa yetu kumbe uongo? Huyo Ruto asikudanganye kuwa hatokopa hizo ni propaganda ambazo zilishapitwa na wakati achana na maeneo ya siasa Kwa ground Hali haiko hivyoUnajua maana ya kupunguza utegemezi?
Unfortunately Kunyaland hawawezi kuishi bila mikopo na wamefikia ceiling ya mwisho kabisa ya Mikopo wako mbioni kufilisika so lazima Rais wao ajikosheJPM alipokuwa anasisitiza kupunguza utegemezi wa mikopo kwajili ya maendeleo ya nchi, Chadema walipinga sana na kusisitiza kuwa lazima tukope.
Leo mama anakopa hadi ela ya kununua chumvi mnaona hiyo haifai, sasa mmesimama kumshangilia Ruto anapoongea kauli ileile aliyoongea JPM.
Tupeni msimamo wa chadema kuhusu kukopa maana siku hazigandi maybe baadae mnawezakamata nchi je mtafanya nini katika agenda ya ukopaji?
View attachment 2471740
Kwahiyo siku hizi watu hawafi?
Machadema bwana!