Mathias Lyamunda
JF-Expert Member
- Apr 4, 2013
- 1,369
- 559
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA
- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani
- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B
CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.
NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.
inafaa uende jando unalack something
Ninachokiona katika hii ndoa NCCR kitakufa Kabisa... Na CDM kitakuwa chama cha Bara na CUF kitakuwa chama cha Zanzibar... Result Wakishinda hawa Tanzania itakufa. Tutabaki na Tanganyika na Zanzibar kama wenyewe wanavyotaka.
Ninachokiona katika hii ndoa NCCR kitakufa Kabisa... Na CDM kitakuwa chama cha Bara na CUF kitakuwa chama cha Zanzibar... Result Wakishinda hawa Tanzania itakufa. Tutabaki na Tanganyika na Zanzibar kama wenyewe wanavyotaka.
Chadema ni maselfish aka opportunist
Buku 7 inakutesa sana,kama huna kazi ya kukuingizia kipato unategemea hizo buku 7 bora unione nikupe hata shamba kidogo ulime kuliko kujidharirisha hivi!
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA
- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani
- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B
CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.
NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.
unadhani huo ubaguzi utaishia hapo... Bila Tanzania Hakuna Zanzibar... Kuna Pemba na Unguja.kwan kuna ubaya gan tukibaki na Tanganyika Na Zanzibar?
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA
- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani
- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B
CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.
NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.
Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA
- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani
- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B
CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.
NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.
Mbona kitete kimewaingia!!!?
Sasa km Chadema ni wabinafsi si ndio itakuwa nafuu kwenu maccm!!?
Mbona kama vile unatapatapa? Katika siasa hakuna permanent enemies.Navishauri vyama viwili vya NCCR NA CUF JUU YA UBINAFSI WA CHADEMA
- Kumbukeni mwanzo walikataa kuunda kambi ya upinzani
- Kumbukeni matusi ya kuambiwa CCM B
CHADEMA ni kuiogopa, baada ya kuona ndani kuna migogoro na hadhi yake kuwa mbaya CHADEMA ili kufanya cover up wakajifanya wanapenda kuungana na waliberali.
NB: Maandamano yaliyoshindwa yalibebwa na CHADEMA badala ya UKAWA kama tulivyoelezwa hapo kabla.
Soma bandiko namba #72 upate darsa kidogo juu ya siasa.Wenje aliwatukana sana CUF kuwa ni mashoga, leo hii kulikoni tena.
Wenje aliwatukana sana CUF kuwa ni mashoga, leo hii kulikoni tena.
umeandika nn ss?. d ja kluppel d q lil zwl h à potpourri tijDperk za tuI PUPIL Loopt uk spIjL xr po Pp
umeandika nn ss?
imejiandika yenyewe sorry but iko na miining than what you have write