Makamanda wa chadema ni msingi muheza leo wapo kata ya ngomeni kijiji cha mkanyageni zoezi la chaguzi za msingi zinakwenda vyema,.makamanda wengine wapo kata ya mlingano kijiji cha mlingano eneo la kizota wanachama wamejitokeza kuchukua fomu za uongozi wa chadema ngazi ya msingi na kata,hakuna kulala mpaka wang'oke ccm
Pure Bonde jaman tatizo la hapa muheza ni maji ivi wanafanya niihawa ccm
Makamanda wa chadema ni msingi muheza leo wapo kata ya ngomeni kijiji cha mkanyageni zoezi la chaguzi za msingi zinakwenda vyema,.makamanda wengine wapo kata ya mlingano kijiji cha mlingano eneo la kizota wanachama wamejitokeza kuchukua fomu za uongozi wa chadema ngazi ya msingi na kata,hakuna kulala mpaka wang'oke ccm
Safi makamanda piteni mpaka kata ya genge
Magamba yakisikia hivi yana jiharishia hahaha hahahaNadhani sasa tumeelewa nini cha kufanya, mijadala ile ya wasariti imepitwa na wakati sisi tusonge mbelekujenga chama cdm
Safi makamanda piteni mpaka kata ya genge
MBONA VISIMA VYA SABODO HATUVIONI hapa Muheza hata kimoja NA PESA WALIPEWA Dj, Mzee wa gongo, na jambazi la arusha
genge makamanda akina yosepher wapo wanapiga kazi