CHADEMA ni chama cha PROPAGANDA

CHADEMA ni chama cha PROPAGANDA

Nini kimekuwasha mpaka ukaleta hii mada umetumia records gani kusema cdm ni propaganda ,,,magamba kubw jk alisema sio chama ni wanaharakati ,kelele za mlango hazimnyimu usingizi mwenye nyumba leo yupo kimya ananza kuchezo mchezo mbaya uchaguzi igunga lakini cdm imeongeza idadi ya kura ,,,,kwa taarifa pitia matokeo ya uchaguzi kwenye tuvuti ya nec uone mafanikio ya cdm toka ilpoanza na kila chaguzi ,,,kura za ccm na cuf zinavyoshuka
 
Dhana ya Siasa ni Uongo ni dhana iliyozaliwa, kulelewa, kukuzwa na kukomazwa na CCM,
ndio maana mpaka kesho wanazunguka wakidanganya watanzania na ahadi hewa.
Kizazi hiki changu (20-30s) kinaamini kwamba Siasa bora ndio msingi wa maendeleo ya
nchi yetu baada ya kujithibitishia kwamba siasa uchwara za CCM simetufikisha sehemu
mbaya sana so far.

Ndio maana tumejipanga kukiondoa Madarakani. Natambua kwamba neno Propaganda
halibebi maana yenye manufaa kwa jamii wakati wote linapotumika lakini halibebi maana
nzima ya siasa, ni kisehemu kidogo sana cha uwanda mzima wa siasa.

Naomba ufute kauli
 
Back
Top Bottom