Chadema ni Chama cha neglected society

instinct desire

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2026
Posts
1,618
Reaction score
1,227
Ukifanya utafiti mdogo utagungua kuwa kumbe Chadema kimejaa watu ambao wamekataliwa na jamii mfano, wezi, ma single mothers, waliokimbia shule, matapeli, nk.

Watu wakiona mfuasi wa Chadema wanakimbia wanajua usalama wao haupo

Inshort huwezi ukawa unaheshima ndan ya jamii halafu ukawa Chadema.
 
Wakati unatoa haya maelezo, Samia akatangazwa kwa kura 31m za uongo. Inshort kwa kizazi hiki propaganda za ccm zimekwama.
 
1 Samweli 22:1-2
[1]Basi Daudi akaondoka huko, akakimbilia pango la Adulamu; na ndugu zake na watu wote wa mbari ya baba yake waliposikia habari hiyo, wakamwendea huko.
[2]Na kila mtu aliyekuwa katika hali ya dhiki, na kila mtu aliyekuwa na deni, na watu wote wenye uchungu mioyoni mwao, wakakusanyika kwake; naye akawa jemadari wao; nao waliokuwa pamoja naye walipata kama watu mia nne.
 
Unajisikiaje baada ya kushusha uzi huu mzito!?
 
Kwa hiyo kwa maelezo yako single mothers ni watu waliokataliwa kwenye jamii?

Akili ndio umenyimwa
 
Una data and can you prove that? Else punguza kuandika taarabu na misuto
 
JK..man killing CCM..
Na hakuna wa kumfanya chochote, Polepole ni case study!
 
Unafahamu kama huyo mwenyekiti wako Mwajuma nchokonoe ana mabwana lukuki, watu wanambonyoa wanajipatia vyeo na fursa. Ni uozo tu ule, punani malapulapu ndiyo maana kichwani yuko empty.
Chawa mna kazi ngumu sana, kuutetea uozo? No wonder hakuna chawa mwenye akili timamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…