Shukrani kwa wote waliochangia.
Inapoitaja CUF, huwezi acha kumtaja Prof. I. Lipumba, Seif Sharif, n.k
Unapoitaja UDP, hakika huwezi acha kumtaja Mzee J. Cheyo, n.k
Unapoigusa CCM, lazima uanze na TANU + Afroshiraz, na waasisi wake kama Baba wa Taifa, Kawawa, Bibi Titi, Karume, Seti Benjamin, n.k
Kwanini, hamuokenani kukubali kutizama nyuma ya pazia la CDM.
"Tell me your friend, and will tell you................"