Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,913
- 3,738
Tukiweza kupata supporters wa kutosha tunaweza kuitoa CCM mamlakani ifikapo 2030. chama hicho ni cha mafisadi na hakifai kabis wanawakombozi waliuwawa wengi mwaka jana. saiv ni mchakato wa ukombozi enyi Gen z tuiunge chadema mkono.