CHADEMA na wapinzani wa aina tatu

CHADEMA na wapinzani wa aina tatu

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2012
Posts
10,346
Reaction score
26,138
Nilikuwa Arusha kuhudhuria Kongamano na Mkutano wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS). Vyote vilifanyika kwa siku moja,yaani Jumamosi ya tarehe 16/8/2014 AICC. Pale Arusha,kulikuwa ni mahali pa kukutana na Mawakili Wasomi mbalimbali waliotawanyika nchini na kubadilishana mawazo.

Moja ya mazungumzo ilikuwa ni hali ya kisiasa hapa nchini.Mazungumzo haya yalifanyika wakati wa mapumziko ya chai au chakula cha mchana. Wakili Msomi mmoja akatoa hoja kuwa unapofanyika uchaguzi hapa nchini,wagombea wa upinzani hasa CHADEMA hupambana na wapinzani wa aina tatu. Kwanza, vyombo vya dola.Mgombea itampasa kupambana na changamoto na mikwaruzo mbalimbali kutoka vyombo vya usalama na kuvishinda kwa kulindwa na mapenzi ya wananchi juu yake.

Pili,mgombea atapambana na mgombea mwenzake wa chama tawala au kinginecho. Yampasa kujenga hoja ili akubalike zaidi ya mwenzake. Na tatu,Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Mgombea husika lazima apambane na Tume kwa namna kama ya 'kulazimisha' matokeo kutangazwa. Pia,kupambana kuepuka kuibiwa kwa kura zake na kutangazwa mwingine badala yake.

Wakili Msomi huyo akamaliza kwa kusema kuwa Wabunge wote wa Majimbo wa CHADEMA wamepambana na 'wapinzani' hao na kuwashinda. Hivyo,si jambo dogo kuwaona Bungeni. Wamefanya kazi kwelikweli. Ni mashujaa. Hivyobasi,ni watu wapambanaji,shupavu na wa kupigiwa mfano. Ni chaguo hasa la wananchi. Akamaliza kwa kusema,mwaka 2015 itakuwa kazi pevu kuwapoka Ubunge wabunge wa aina hii.

Mjadala ulikuwa mkali kwa kila Wakili Msomi aliyekuwepo hapo mazungumzoni kuwa na mtazamo wake. Nami,nikabaki kujifunza jambo tu. Nilikuwa Junior Counsel kuliko wote kwahiyo nikabaki kuwa msikilizaji.

Waungwana,kuna ukweli wowote hapa?
 
Chadema uchaguzi mwakani hawatapata mbunge hata mmoja, wabunge wote wa chadema hakuna kitu wamefanya kwenye majimbo yao zaidi ya vurugu na maandamano..
 
Majimbo yote ya chadema yatachukuliwa na chama makini cha ACT..
ACT OYEEEEEEEE
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu ataweza kuchagua mbunge wa chadema labda awe na akili kama ya bavicha au bawacha.
 
Chadema uchaguzi mwakani hawatapata mbunge hata mmoja, wabunge wote wa chadema hakuna kitu wamefanya kwenye majimbo yao zaidi ya vurugu na maandamano..
Hakika mkuu wabunge wa chadema wote hovyo kabisa.
 
Nilikuwa Arusha kuhudhuria Kongamano na Mkutano wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS). Vyote vilifanyika kwa siku moja,yaani Jumamosi ya tarehe 16/8/2014 AICC. Pale Arusha,kulikuwa ni mahali pa kukutana na Mawakili Wasomi mbalimbali waliotawanyika nchini na kubadilishana mawazo.

Moja ya mazungumzo ilikuwa ni hali ya kisiasa hapa nchini.Mazungumzo haya yalifanyika wakati wa mapumziko ya chai au chakula cha mchana. Wakili Msomi mmoja akatoa hoja kuwa unapofanyika uchaguzi hapa nchini,wagombea wa upinzani hasa CHADEMA hupambana na wapinzani wa aina tatu. Kwanza, vyombo vya dola.Mgombea itampasa kupambana na changamoto na mikwaruzo mbalimbali kutoka vyombo vya usalama na kuvishinda kwa kulindwa na mapenzi ya wananchi juu yake.

Pili,mgombea atapambana na mgombea mwenzake wa chama tawala au kinginecho. Yampasa kujenga hoja ili akubalike zaidi ya mwenzake. Na tatu,Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Mgombea husika lazima apambane na Tume kwa namna kama ya 'kulazimisha' matokeo kutangazwa. Pia,kupambana kuepuka kuibiwa kwa kura zake na kutangazwa mwingine badala yake.

Wakili Msomi huyo akamaliza kwa kusema kuwa Wabunge wote wa Majimbo wa CHADEMA wamepambana na 'wapinzani' hao na kuwashinda. Hivyo,si jambo dogo kuwaona Bungeni. Wamefanya kazi kwelikweli. Ni mashujaa. Hivyobasi,ni watu wapambanaji,shupavu na wa kupigiwa mfano. Ni chaguo hasa la wananchi. Akamaliza kwa kusema,mwaka 2015 itakuwa kazi pevu kuwapoka Ubunge wabunge wa aina hii.

Mjadala ulikuwa mkali kwa kila Wakili Msomi aliyekuwepo hapo mazungumzuni kuwa na mtazamo wake. Nami,nikabaki kujifunza jambo tu. Nilikuwa Junior Counsel kuliko wote kwahiyo nikabaki kuwa msikilizaji.

Waungwana,kuna ukweli wowote hapa?

Unajifanya huna chama lakini CHADEMA haikauki kinywani mwako! Mnafiki chakula ya mamba!
 
Hahahahahahaaaaa.....Mitoto isiyo na malezi imeandamana hapa utafikiriw hii ndio ofisi ya nape anapotolea bk7 ni shida kweli

BACK TANGANYIKA
 
Unajifanya huna chama lakini CHADEMA haikauki kinywani mwako! Mnafiki chakula ya mamba!

Mkuu MSALANI,tafadhali elewa.Hivi mtu akiitaja Uingereza anageuka kuwa Mwingereza. Nakuheshimu sana. Sipendi malumbano nawe.Ukitaka niwe CHADEMA,niletee kadi
 
Last edited by a moderator:
Chadema bonge la chama, mageti yote hutangaza chadema, ccm wote hutangaza chadrma, tv zote hutangaza chadema, radio zote hutanga chadema! Mtaitangaza chadema kwanjia zote bila hata nyiwe wenyewe kujua kama mnaitangaza. Well done chadema.
 
Chadema bonge la
chama, mageti yote hutangaza chadema, ccm wote hutangaza chadrma, tv
zote hutangaza chadema, radio zote hutanga chadema! Mtaitangaza chadema
kwanjia zote bila hata nyiwe wenyewe kujua kama mnaitangaza. Well done
chadema.

Mkuu, ubarikiwe sana. umemaliza kila kitu na nikutakie usiku mwema.
 
Nilikuwa Arusha kuhudhuria Kongamano na Mkutano wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS). Vyote vilifanyika kwa siku moja,yaani Jumamosi ya tarehe 16/8/2014 AICC. Pale Arusha,kulikuwa ni mahali pa kukutana na Mawakili Wasomi mbalimbali waliotawanyika nchini na kubadilishana mawazo.

Moja ya mazungumzo ilikuwa ni hali ya kisiasa hapa nchini.Mazungumzo haya yalifanyika wakati wa mapumziko ya chai au chakula cha mchana. Wakili Msomi mmoja akatoa hoja kuwa unapofanyika uchaguzi hapa nchini,wagombea wa upinzani hasa CHADEMA hupambana na wapinzani wa aina tatu. Kwanza, vyombo vya dola.Mgombea itampasa kupambana na changamoto na mikwaruzo mbalimbali kutoka vyombo vya usalama na kuvishinda kwa kulindwa na mapenzi ya wananchi juu yake.

Pili,mgombea atapambana na mgombea mwenzake wa chama tawala au kinginecho. Yampasa kujenga hoja ili akubalike zaidi ya mwenzake. Na tatu,Tume ya Taifa ya Uchaguzi. Mgombea husika lazima apambane na Tume kwa namna kama ya 'kulazimisha' matokeo kutangazwa. Pia,kupambana kuepuka kuibiwa kwa kura zake na kutangazwa mwingine badala yake.

Wakili Msomi huyo akamaliza kwa kusema kuwa Wabunge wote wa Majimbo wa CHADEMA wamepambana na 'wapinzani' hao na kuwashinda. Hivyo,si jambo dogo kuwaona Bungeni. Wamefanya kazi kwelikweli. Ni mashujaa. Hivyobasi,ni watu wapambanaji,shupavu na wa kupigiwa mfano. Ni chaguo hasa la wananchi. Akamaliza kwa kusema,mwaka 2015 itakuwa kazi pevu kuwapoka Ubunge wabunge wa aina hii.

Mjadala ulikuwa mkali kwa kila Wakili Msomi aliyekuwepo hapo mazungumzuni kuwa na mtazamo wake. Nami,nikabaki kujifunza jambo tu. Nilikuwa Junior Counsel kuliko wote kwahiyo nikabaki kuwa msikilizaji.

Waungwana,kuna ukweli wowote hapa?

Alisahau wale wapinzani ambao wako ndani ya Chama. Wale wanaojifanya wanamuunga mkono mgombea kumbe ndiyo wanaomkwamisha. Wengine wanadiriki hata kujitolea kuwa mawakala.
 
kuna ukweli mkubwa sana , RPC WA MWANZA alihamishiwa makao makuu ya polisi kama njia ya kumkomoa baada ya kusimamia shoo ya kung'olewa diallo na masha .
 
Mkuu MSALANI,tafadhali elewa.Hivi mtu akiitaja Uingereza anageuka kuwa Mwingereza. Nakuheshimu sana. Sipendi malumbano nawe.Ukitaka niwe CHADEMA,niletee kadi

Kwani kunaunae muogopa hapa kukubali kama wewe nishabiki la chadema kama si mwanachama
 
Last edited by a moderator:
Bwana mselewa njaaa mbaya...hebu jione...jitathmini ..jirekebishe
 
Mkuu MSALANI,tafadhali elewa.Hivi mtu akiitaja Uingereza anageuka kuwa Mwingereza. Nakuheshimu sana. Sipendi malumbano nawe.Ukitaka niwe CHADEMA,niletee kadi
Umeanzisha mjadala mzuri lakini umeshapokwa na mijitu ya Lumumba akina Msalani, laki si pesa, inakuwa vigumu kwa watu makini kuchangia. Lakini asante kwa kutupa angalizo hili.
 
Mijitu ya Lumumba siku hizi ni kama nzi wanapoona chakula. Hurukia kila mada na kuchafua utamu wa ladha. Inaudhi!
 
Kweli nimeamini mbwa umpe hata nn mavi atakula na vyombo ukiacha hovyo atalamba. Umeona hao waliokimbilia kuchangia uzi huu ni kama mnyama huyo maana CCM na madudu yote ila hawaoni wanatofauti gani na mbwa au nguruwe alioshwa akendazama matopeni? Pumbavu
 
Back
Top Bottom