CHADEMA na wapinzani wa aina tatu

CHADEMA na wapinzani wa aina tatu

Kwakuwa umezoea kununuliwa,unafikiri wote tuko hivyo. Tafuta details zangu kabla ya kuropoka

Wewe hununuliwi haya uchukue fomu kibaha ndio utajua kwanini mjokava aliuza yale machuma ruvu. Wasema sikufahamu.
 
Wewe hununuliwi haya uchukue fomu kibaha ndio utajua kwanini mjokava aliuza yale machuma ruvu. Wasema sikufahamu.

Kama wanifahamu,kwanini unishuhudie uongo Mkuu? Nina ajira yangu na tasnia yangu. Vinanitosha
 
Chadema uchaguzi mwakani hawatapata mbunge hata mmoja, wabunge wote wa chadema hakuna kitu wamefanya kwenye majimbo yao zaidi ya vurugu na maandamano..

Kazi kubwa wamefanya,au ulitaka mpaka waje wakutawaze ukitoka chooni ndo ujue wamefanya kazi?
 
Dada Mwajuma naona kama umepanic hivi.
Kumbe mtunzi wa kichwa cha habari ni Mwajey ndala Ndefu....................?Ndio maana akili zimekaakaa kama zakushikiwa na mtu hivi.
 
Back
Top Bottom