kama kawaida
Senior Member
- Jul 20, 2015
- 139
- 87
CDM inapukutika sana .Sijui itakuweje October 2020.
Tuondolee upumbavu wako hapaHivi nyie CHADEMA kwanini huwa mnasubiri mtu akishahama chama au akiwakimbia ndo mmatoka kumjibu na kumpa majina yote?
Na mmekua na tabia ya kujinasibu kwamba kila anayetoka tulijua atatoka na wapo wengine. Kama kweli mmawajua watu wote wanaotoka/wanaotaka kutoka kwann msiwataje kuliko kusubiri watu wameshawakimbia ndo ma nyie mnajitokeza kusema tulijua atatoka.
Lini mtaacha siasa za matukio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri vichekesho. Bk 7 hizo zinaleta haya majambo.Hivi nyie CHADEMA kwanini huwa mnasubiri mtu akishahama chama au akiwakimbia ndo mmatoka kumjibu na kumpa majina yote?
Na mmekua na tabia ya kujinasibu kwamba kila anayetoka tulijua atatoka na wapo wengine. Kama kweli mmawajua watu wote wanaotoka/wanaotaka kutoka kwann msiwataje kuliko kusubiri watu wameshawakimbia ndo ma nyie mnajitokeza kusema tulijua atatoka.
Lini mtaacha siasa za matukio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Usipanic ndugu. Siasa inahesabu zake.
Fact.Hivi nyie CHADEMA kwanini huwa mnasubiri mtu akishahama chama au akiwakimbia ndo mmatoka kumjibu na kumpa majina yote?
Na mmekuwa na tabia ya kujinasibu kwamba kila anayetoka tulijua atatoka na wapo wengine. Kama kweli mmawajua watu wote wanaotoka/wanaotaka kutoka kwann msiwataje kuliko kusubiri watu wameshawakimbia ndo ma nyie mnajitokeza kusema tulijua atatoka.
Lini mtaacha siasa za matukio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uelewa finyu sana.Sasa hoja ya swali lako ni lipi?utakuwa njiti wewe hebu muulize mama yako au mlezi wako.Hivi nyie CHADEMA kwanini huwa mnasubiri mtu akishahama chama au akiwakimbia ndo mmatoka kumjibu na kumpa majina yote?
Na mmekuwa na tabia ya kujinasibu kwamba kila anayetoka tulijua atatoka na wapo wengine. Kama kweli mmawajua watu wote wanaotoka/wanaotaka kutoka kwann msiwataje kuliko kusubiri watu wameshawakimbia ndo ma nyie mnajitokeza kusema tulijua atatoka.
Lini mtaacha siasa za matukio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Naunga mkono hoja.Hivi nyie CHADEMA kwanini huwa mnasubiri mtu akishahama chama au akiwakimbia ndo mmatoka kumjibu na kumpa majina yote?
Na mmekuwa na tabia ya kujinasibu kwamba kila anayetoka tulijua atatoka na wapo wengine. Kama kweli mmawajua watu wote wanaotoka/wanaotaka kutoka kwann msiwataje kuliko kusubiri watu wameshawakimbia ndo ma nyie mnajitokeza kusema tulijua atatoka.
Lini mtaacha siasa za matukio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Njiti ni ww na aliyekuzaa.Una uelewa finyu sana.Sasa hoja ya swali lako ni lipi?utakuwa njiti wewe hebu muulize mama yako au mlezi wako.
Sent using Jamii Forums mobile app