Imewekwa vile makusudi!Yap nami nimeiona ila habari iliyofuata ya Redbriged nathani ITV walichanganya matukio mawili ndani ya mmoja, Tukio la kukutwa na vifaa vya jeshi na Seremala aliyekutwa na viungo vya Albino kwa pamoja
Act mna alama gani nyie wasaliti?alama ya ACT WAZALENDO
wameiga.
Wanapunga mkono kuaga maana kinakufa baada ya uchaguzi mkuu.
alama ya ACT WAZALENDO
wameiga.