Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Katika hali inayoonyesha kuimarika kwa demokrasia nchini,vyama vya chadema na nccr mageuzi vimekubaliana kwa pamoja kuzika tofauti zao na sasa kushirikiana katika baadhi ya mambo ya kisiasa hapa nchini.
Katika makubaliano hayo Mbatia amefuta kesi aliyomfungulia Halima Mdee baada ya kugaragazwa pale kawe na mwanadada huyo machachari katka siasa za Tanzania.
My take:Ni hatua nzuri kuelekea ujenzi wa demokrasia ya kweli na ya kukubali kushindwa hasa kwa mbatia.
Katika makubaliano hayo Mbatia amefuta kesi aliyomfungulia Halima Mdee baada ya kugaragazwa pale kawe na mwanadada huyo machachari katka siasa za Tanzania.
My take:Ni hatua nzuri kuelekea ujenzi wa demokrasia ya kweli na ya kukubali kushindwa hasa kwa mbatia.