Mkulima na Mfugaji
JF-Expert Member
- Jul 26, 2013
- 1,056
- 1,867
Kuna misemo ya kiswahili kama mbio za sakafuni huishia ukingoni,ngoma ikilia sana mwisho wake hupasuka,hata maji yachemke kiasi gani mwisho wake yatapoa,hata jiwe lirushwe juu kiasi gani lakini litarudi chini.Hiyo ni baadhi tu ya misemo michache kati ya mingi inayoashiria kuporoka kwa chadema.
chama kimekuwa hakina mvuto kimekuwa kama genge la wahuni.hivi mtu mwenye busara zake anaweza kushabikia chadema?na ndio maana ile mikoa inayoongoza kwa ustaarab wameamu kukataa hiki chama.Chama kimekuwa kama kambare yaani mtoto ndevu na mkubwa ndevu yaani kila mtu ni msemaji wa chama.
Msidanganyike na hao wapiga debe na bodaboda wanaohudhuria mikutano yenu lakini mkumbuke siku ya uchaguzi hao wala hawana mda wa kupiga kura wanaopiga kura ni wakina mama na waze wanaojua umuhimu wa chama kipi cha kupigia kura.
kwa staili chadema hakitaanguka?
chama kimekuwa hakina mvuto kimekuwa kama genge la wahuni.hivi mtu mwenye busara zake anaweza kushabikia chadema?na ndio maana ile mikoa inayoongoza kwa ustaarab wameamu kukataa hiki chama.Chama kimekuwa kama kambare yaani mtoto ndevu na mkubwa ndevu yaani kila mtu ni msemaji wa chama.
Msidanganyike na hao wapiga debe na bodaboda wanaohudhuria mikutano yenu lakini mkumbuke siku ya uchaguzi hao wala hawana mda wa kupiga kura wanaopiga kura ni wakina mama na waze wanaojua umuhimu wa chama kipi cha kupigia kura.
kwa staili chadema hakitaanguka?