CHADEMA na Majimbo,Uzinduzi wa M4C Dodoma!

CHADEMA na Majimbo,Uzinduzi wa M4C Dodoma!

Dik

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,205
Reaction score
416
Kulikuwapo habari za uwepo wa uzinduzi wa M4C jimbo la kati (Dodoma,Singida,Morogoro) kesho j'mosi tar 6 april!mwenye taarifa atujuze kama zoezi hlo lipo au limeahrishwa!

Nawasilisha!
 
Binafsi sijui chochote kuhusu lini wanazindua lakini CHADEMA kwa kipindi hiki wanafanya uzinduzi wa Kanda katika mpango wao mpya wa kurasmisha madaraka na sio uzinduzi wa M4C.

Ni vema ukabilisha heading yako na pia uweke alama ya kuuliza, kwa mfano
''CHADEMA KUZINDUA KANDA YA KATI KESHO?''
 
ili ili lalalalalalalalalal dnnnnnnnn dheieiwkdjsm nsmjdh skjwddir mdkjsnn
 
Kulikuwapo habari za uwepo wa uzinduzi wa M4C jimbo la kati (Dodoma,Singida,Morogoro) kesho j'mosi tar 6 april!mwenye taarifa atujuze kama zoezi hlo lipo au limeahrishwa!

Nawasilisha!

Imefutwa kwa sababu Dodoma hawana wanachama wa kutosha, wanategemea wanafunzi wa vyuo sasa hivi wameamua kuachana na siasa na kubobea kwenye masomo maana wamegundua siasa hailipi bila elimu
 
Elimu ipi iliyooza? Ya Mulugo? Kuna elimu Tanzania? Wakati policcm na wakubwa zake wanafanya bidii kuua elimu ili tuwe mambumbu wote? Unafikiri wajukuu zako watapona?
Imefutwa kwa sababu Dodoma hawana wanachama wa kutosha, wanategemea wanafunzi wa vyuo sasa hivi wameamua kuachana na siasa na kubobea kwenye masomo maana wamegundua siasa hailipi bila elimu
 
Elimu ipi iliyooza? Ya Mulugo? Kuna elimu Tanzania? Wakati policcm na wakubwa zake wanafanya bidii kuua elimu ili tuwe mambumbu wote? Unafikiri wajukuu zako watapona?

Mbona wewe umepona? Ndio maana wana struggle waiokoe kwa vizazi vijavyo
 
Matatizo mengine kama yale ya Video Clip yanaibuliwa ili kuondoa focus ya Chadema katika M4C na mikakati ya kikanda ambayo CDM walikuwa waendelea nayo. Inaonekana imeweza kufaulu kupunguza spidi. CDM watch out!
 
Mimi nipo Dom, sijasikia habari wala fununu za tukio hilo.
 
Imefutwa kwa sababu Dodoma hawana wanachama wa kutosha, wanategemea wanafunzi wa vyuo sasa hivi wameamua kuachana na siasa na kubobea kwenye masomo maana wamegundua siasa hailipi bila elimu

Waacheni wadogo waje kwangu.
 
Back
Top Bottom