HT
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,897
- 414
kwani una Id mbili?Acha hasira kwani slaa na wewe mpoje? please declare hizo interest sisi tunaona hivyo kwa uhusiano wa matukio na maamuzi mengi ya hovyo yayotolewa kwa mtu kukomaa na mishipa kumtoka kama makamba vile
Sidhani kama kuna sehemu nimeonesh hasira. Slaa pia ni katibu mkuu. Kwa hiyo sioni tatizo akiwajibika ktk nafasi yake. Kama kuna kitu hakiko sawa unaweka wazi badala ya majungu kama haya.
Plus sina interest yoyote na Slaa. Hata kama wewe ukitendewa hivi nitasema!