CHADEMA na Lowassa, mtapeli na mtapeliwa

CHADEMA na Lowassa, mtapeli na mtapeliwa

4;Hivi unapozungumzia waliotufikisha hapa tulipo unamuachaje

Lowasa
Sumaye
Kingunge?

Leo hii hao si ndio wamekuwa mashujaa na makamanda?

Acheni unafikiri nyie majuha.
Duh sasa chama na watu kipi kikubwa??? Mfumo wa Ccm unabidi ufumuliwe hao uliowataja wamehama wakiamini kweli ccm imwoza ssa waliobaki wanaamini ccm ni safi ssa je kuungana nao waliobaki huoni ni kuhalalisha uhuni wa CCM
 
Mimi nilisha iipuuza cdm mda mlefu sana,Kama kina miaka 20 hakiwezi kuandaa mgombea uraisi bado wapuuzi Fulani wanasema eti chama,hilo ni kikundi cha kusubiri makapi ya ccm,
 
Ukiiangalia hiyo picha utaona nikiasi gani jinsi viongozi wa cdm walivyofedheheka kwakuwa na lowasa .

Ona prof Safari kajiinamia.

Ona msigwa

Ona Dr slaa. Hatari
Mkuu Ogopa sana kitu njaa, waliomwita fisadi miaka nane mfululizo sasa wanamuona Malaika mgawa rizki. halafu leo wanajifanya wakipewa uteuzi na magufuli wataukataa!! Thubutuu!!wangekuwa na uwezo wa aina hiyo wangemkana lowasa aliyekuja chafua haiba ya chama chao.
 
Mkuu Ogopa sana kitu njaa, waliomwita fisadi miaka nane mfululizo sasa wanamuona Malaika mgawa rizki. halafu leo wanajifanya wakipewa uteuzi na magufuli wataukataa!! Thubutuu!!wangekuwa na uwezo wa aina hiyo wangemkana lowasa aliyekuja chafua haiba ya chama chao.
Umeongea MKUU,ni manyumbu tu ndio wanoweza kutapeliwa na Hawa Jamaa,

Nilikuwa mwanachama wao halali kabisa lakin nilipogundua kuwa ni washenzi wasio na dira nikaona nijitoe na kadi nikachoma.

Huwezi kujiita mpinzani halafu ukawa unategemea wale uliowapinga watibuane uwakaribishe wawe ma think tanker wa chama chako,.

Hii inaonyesha kwako kuwa huna dira na hakuna watu wa maana
 
Umeongea MKUU,ni manyumbu tu ndio wanoweza kutapeliwa na Hawa Jamaa,

Nilikuwa mwanachama wao halali kabisa lakin nilipogundua kuwa ni washenzi wasio na dira nikaona nijitoe na kadi nikachoma.

Huwezi kujiita mpinzani halafu ukawa unategemea wale uliowapinga watibuane uwakaribishe wawe ma think tanker wa chama chako,.

Hii inaonyesha kwako kuwa huna dira na hakuna watu wa maana
Chadema nilikiamini na nilikitetea sana, lakini walipoanza siasa za kiini macho nikajiondokea zangu. chama kinaishi kwa kuamini kwenye unafiki, kinachosemwa sicho wanachokiamini. wanataka demokrasia lakini wenyewe wanajiendesha kiimra!
 
Mimi nilisha iipuuza cdm mda mlefu sana,Kama kina miaka 20 hakiwezi kuandaa mgombea uraisi bado wapuuzi Fulani wanasema eti chama,hilo ni kikundi cha kusubiri makapi ya ccm,
Nani hakuandaa mgombea urais?? Lowasa aligombea kwa makubaliano ya UKAWA yaani wale walioamua kuacha kugombea urais ndio waliridhia kma asingegombea basi angeweza kuendele Dr slaa ssa nani aliekwambia hatukua tumeandaa mgombea kabla lowasa hajaja??
 
Rangimoto huna hoja kabisa mkuu sorry to say this ila you are at your career lowest..... sikutegemea uzi kma hui kutoka kwako

1. Haya unasema chadema wanapinga udikteta ila mbowe ni dikteta kwa minajili ya kwamba alifuta kipengele cha ukomo wa mwenyekiti. Kwa kifupi tu katiba ilifanyiwa marekebisho na kamati ilikuwa chini ya prof baregu akisaidiwa na katibu mnyika na wajumbe walitoa maoni ikaandikwa katiba mpya ya chama na hyo katiba mpya ilikuja na maoni mapya kabisa na mojawapo mwenyekiti aweze kugombea back to back ssa kivp mkuu wwe useme kilifutwa wakati ni katiba mpya kabisa?? Ni sawa na kusema kusema rasimu ya warioba imefuta serikali mbili???? Inaingia akilini kweli??? Kma ulikuwa chadema na ulibariki katiba hii siku inazinduliwa 2006 afu leo hii unajifanya huelewi basi tuna safari ndefu sana

2. Unasema tulimpitisha lowassa kugombea urais kwa njia za kijanja janja!!! Hivi unasahau kuwa mgombea urais wa UKAWA alipatikana kwa maridhiano sio kura!!!! Kumbuka lipumba makaidi kahangwa hawakugombea urais kabisa ili kumpisha mgombea wa chadema ssa kura hazikuwa necessary wakati hta CUF au NCCR hawakupiga kura yoyote ya kumsimamisha mgombea urais!!! Yaani walishgive up kiti kwa lowassa ssa kura za chadema ziligeuka vague!! Na haya ni makubaliano ya ukawa ndio maana hta duni alipewa ugombea mwenza na hakuwahi kuwa chadema!! Shida ni ubovu wa katiba ila katiba ingeruhusu vyama kuungana then nauhakika kura zingepigwa wazi kma unavyotaka wwe maana hta kamati kuu ingeundwa moja!!!!!

3. Kanda ya nyasa sosopi aliporwa kivp wakati walishakubaliana asimame mmoja ili chama kisigawanyike?? Sosopi alikubali ssa wwe inakuwaje ugeuke msemaji wake wakati yye aliridihia?? Kma aligoma si angesema wazi??

Kuhusu kuamini vijana mbona husemi kina kishoa,kinyafu,mnyika,salum mwalim, upendo peneza n.k kupewa uongozi mbalimbali na chama ??? Kwani hao sio vijana?? Je chama gani kimegroom vijana wengi wa upinzani kma sio chadema?? Kuanzia hao kina mchange wenu sijui zitto kina mkumbo mpaka mghwira wote walikuwa groomed na chadema ssa sielewi vipi unasema chama hakigroom vijana ??

4.Unasema mnataka dola kwa maslahi ya maendeleo na kuwa sisi tunapinga kila kitu. Kuna tofauti ya kuunga mkono na kujiunga na waliotufikisha hapa tulipo. Huwezi pinga kitu huku unaishi nacho nyumba moja!!! Je leo hii mtasupport rasimu ya warioba inayotaka kufuta post ya ukuu wa wilaya na mkoa?? Wakati mnanufaika??? je leo mnaubavu wa kusema ilani ya CCM haitekelezeki wakati mwenyekiti wenu na mshauri mkuu wa chama wantekeleza ilani hiyo??? Nyie mmesaliti mabadiliko mlitoka povu pale zakheem mwezi march mwaka jana mkidai magufuli hawezi ongoza nchi na mkamuita dikteta hku mkitaka vijana tuwaunge mkono kupingana na udikteta wake leo hii hta mwaka haujaisha mmeshajiunga naye sasa tuwaleeweje????? Nisaidie hapa

5. Haya unasema tunamtapeli lowasa wakati nashangaa siku lowasa amekatwa CCM kiongozi wenu wa chama alisema anamkaribisha lowasa kwenye chama!!!! sasa je angekubali mwaliko wenu leo hii ungemtukana hivi??? This is politics my friend iko siku vyama vitaungana vya upinzani na bahati mbaya lowasa agombee tena 2020 huku zitto akimnadi nchi nzima utafanyeje????

Rangimoto unatuangusha sana vijana mnasaliti mabadiliko afu mnakuja kujustify mitandaoni???
Hao wakina kishoa wanaogongwa na Mwenyekiti kisha ndio wapewe nafasi??? ukiona kijana kapata nafasi CHADEMA aidha anagongwa na vigogo au ni nyumbu, lkn GENGE la Mbowe halihitaji vijana wa haiba ya Sosopi.

Huwez kutetea uhuni uliofanywa Nyasa na Mbowe kwa kisingizio cha maridhiano, tangu lini demokrasia inapasua chama? kwanini katiba ya chama iweke utaratibu wa uchaguzi alafu mtu mmoja tu aje na utaratibu wake kisa tu ni kigogo mwenye cheo na fedha.

Hivi Sosopi hata kama hajaridhika ana ubavu wa kusema kuwa hajaridhika? Kama Mbowe aliweza kuvunja katiba na kuzuia uchaguzi wa Nyasa kwa kutumia fedha zake na cheo chake, kwa kutumia hayo angeshindwa kumvunja Sosopi pia kama angekahidi??? Hivi wewe nyumbu hili hulioni??????
 
Hao wakina kishoa wanaogongwa na Mwenyekiti kisha ndio wapewe nafasi??? ukiona kijana kapata nafasi CHADEMA aidha anagongwa na vigogo au ni nyumbu, lkn GENGE la Mbowe halihitaji vijana wa haiba ya Sosopi.

Huwez kutetea uhuni uliofanywa Nyasa na Mbowe kwa kisingizio cha maridhiano, tangu lini demokrasia inapasua chama? kwanini katiba ya chama iweke utaratibu wa uchaguzi alafu mtu mmoja tu aje na utaratibu wake kisa tu ni kigogo mwenye cheo na fedha.

Hivi Sosopi hata kama hajaridhika ana ubavu wa kusema kuwa hajaridhika? Kama Mbowe aliweza kuvunja katiba na kuzuia uchaguzi wa Nyasa kwa kutumia fedha zake na cheo chake, kwa kutumia hayo angeshindwa kumvunja Sosopi pia kama angekahidi??? Hivi wewe nyumbu hili hulioni??????
Mkuu mbona unajudhalilisha hivi?? Ndio umekuwa this low siku hizi?? Kma nyie ndio think tanks wa ACT basi upinzani una safari ndefu sana

Unasema kila kiongozi mpaka awe team mbowe sijui agongwe??? Hivi una ushahidi kuwa mbowe kalala na kila kiongozi wa chadema??? Au propaganda za CCM unahamishia ACT??? kma huna uthibitisho then ntakudharau sana

Unaposema mbowe hamuhitaji sosopi ssa ilikuwaje sosopi amekuwa makam mwenyekiti BAVICHA??? pia ilikuwaje akapewa nafasi ya kugombea ubunge ismani na kupewa baraka zote na mbowe unayemuita hamtaki???

Hakuna aliyeteta uhuni kwani nyie nafasi ya kiongozi mkuu wa chama mlifanya uchaguzi na zito mlimshindanisha na nani??? Ila ndio mnahoji udikteta kuwa upo chadema??? Kilichotokea nyasa ni maridhiano yaani unapoona wagombea wawili wana ushawishi mkubwa ambapo mmoja akianguka inaweza leta mpasuko basi unawaita mnakubaliana anasimama mmoja ili chama kiwe imara na sosopi aliridhia ssa ni lini mmekuwa wasemaji wake??? Hta kipindi zitto anagombea uenyekiti vs mbowe wazee wa chama waliwaita ili kuepusha mgawanyiko na kutaka agombee mmoja tu!!! Sasa kma chama mgombea ameridhia wewe ni nani kusema kaonewa sijui dikteta???

Ndio nasema sosopi hakulalamika nyie mnatoa wapi mdomo wa kusema kaonewa wakati kila siku yupo na mboww pale makao makuu??? Nakuwa sikuelewi kabisa!!! Waweza nitukana ni nyumbu its ok najua ni siasa tu ila nachojua 2020 utakuwa hapa kumnadi mgombea urais kupitia chadema!!! Reserve huu uzi ili siku ya kulamba matapishi tukumbushane povu lako hili wakati hta hujui kiongozi mkuu wako atakuwa mrengo gani 2020!!!
 
Mkuu mbona unajudhalilisha hivi?? Ndio umekuwa this low siku hizi?? Kma nyie ndio think tanks wa ACT basi upinzani una safari ndefu sana

Unasema kila kiongozi mpaka awe team mbowe sijui agongwe??? Hivi una ushahidi kuwa mbowe kalala na kila kiongozi wa chadema??? Au propaganda za CCM unahamishia ACT??? kma huna uthibitisho then ntakudharau sana

Unaposema mbowe hamuhitaji sosopi ssa ilikuwaje sosopi amekuwa makam mwenyekiti BAVICHA??? pia ilikuwaje akapewa nafasi ya kugombea ubunge ismani na kupewa baraka zote na mbowe unayemuita hamtaki???

Hakuna aliyeteta uhuni kwani nyie nafasi ya kiongozi mkuu wa chama mlifanya uchaguzi na zito mlimshindanisha na nani??? Ila ndio mnahoji udikteta kuwa upo chadema??? Kilichotokea nyasa ni maridhiano yaani unapoona wagombea wawili wana ushawishi mkubwa ambapo mmoja akianguka inaweza leta mpasuko basi unawaita mnakubaliana anasimama mmoja ili chama kiwe imara na sosopi aliridhia ssa ni lini mmekuwa wasemaji wake??? Hta kipindi zitto anagombea uenyekiti vs mbowe wazee wa chama waliwaita ili kuepusha mgawanyiko na kutaka agombee mmoja tu!!! Sasa kma chama mgombea ameridhia wewe ni nani kusema kaonewa sijui dikteta???

Ndio nasema sosopi hakulalamika nyie mnatoa wapi mdomo wa kusema kaonewa wakati kila siku yupo na mboww pale makao makuu??? Nakuwa sikuelewi kabisa!!! Waweza nitukana ni nyumbu its ok najua ni siasa tu ila nachojua 2020 utakuwa hapa kumnadi mgombea urais kupitia chadema!!! Reserve huu uzi ili siku ya kulamba matapishi tukumbushane povu lako hili wakati hta hujui kiongozi mkuu wako atakuwa mrengo gani 2020!!!
hapa huna ulichojibu,, unajuwaje pande zinalinga bila kupiga kura??? na kwanini chama kipasuke ikiwa katiba na kanuni za uendeshaji zikifuatwa??? wewe huoni kwa uamuzi wa Mbowe wa kumtaka Msigwa ulitikisa chama kiasi kanda kutaka kupasuka??? Ungefanyika uchaguzi wa kushinda kashinda na wa kushindwa kashindwa na kisha wapiga kura wangeridhika....

Na baada ya kupigiwa kura ya ndio/hapana kura alizopata Msigwa zilidhihiridha kuwa asingeshinda,,,, kura zilizo mkataa ukijumlisha na idadi ya watu waliogomea kupiga kura zinazidi idadi ya kura za ndio,,,hii ni dhahiri mwenyekiti wa nyasa ni mteule wa mbowe Kwa faida zake mbowe na si chama,,
 
KWA MFANO ANIPE JIBU MWANACHADEMA YEYOTE.KIPINDI CHA DKT SLAA.MPAMBANAJI WA KWELI.AJENDA KUU YA CHAMA ILIKUWA NI KUPINGA UFISADI.WIZI WA MALI ZA UMMA.NA MIKATABA YENYE KUINYONYA NCHI.JE KWA SASA AJENDA KUU YA CHADEMA NI IPI.WANA UKAWA NIPENI JIBU.
Wtakupa jibu gani wakati kila uchafu Wamebaki nao wao?
 
aliyewaita nyumbu hakukosea,,, na hapa huna ulichojibu,, unajuwaje pande zinalinga bila kupiga kura??? na kwanini chama kipasuke ikiwa katiba na kanuni za uendeshaji zikifuatwa??? wewe huoni kwa uamuzi wa Mbowe wa kumtaka Msigwa ulitikisa chama kiasi kanda kutaka kupasuka??? Ungefanyika uchaguzi wa kushinda kashinda na wa kushindwa kashindwa na kisha wapiga kura wangeridhika....

Na baada ya kupigiwa kura ya ndio/hapana kura alizopata Msigwa zilidhihiridha kuwa asingeshinda,,,, kura zilizo mkataa ukijumlisha na idadi ya watu waliogomea kupiga kura zinazidi idadi ya kura za ndio,,,hii ni dhahiri mwenyekiti wa nyasa ni mteule wa mbowe Kwa faida zake mbowe na si chama,, nyumbu zinduka mto mara una mamba

Anayekuita andunje hajakosea.
 
Inahitaji uwe na akili ya mtoto wa grade Iv kumwelewa mwenye mada hii,, THINK BIG BROTHER
1.UNAJUA WHY MUNGU HAMWONDOI SHETANI DUNIANI AU MIONGONI MWA WANAADAMU?
That is why CHADEMA MUST BE THERE,, A STRONGLY BEING!!!
2.JE WAJUA WHY MUNGU ALIWEKA MAMBO MAWILI KAMA MOJA KUWA MBADALA WA JINGINE PALE INAPOBIDI???
That is why Baada ya Mwalimu Nyerere, bado tuna Maraisi na nchi inasonga mbele,,hivyo hata bila ccm tutaendelea na kuwa HAI!!!!!!
THINK OUTSIDE SHELLS!!!!USIJIFUNGIE NA UKADHANI KILA MTU KAFUNGWA NA JUA YA KUWA USICHOKIPENDA WEWE USIMWILINGILIE AKIPENDAYE!!!!
 
Ukiiangalia hiyo picha utaona nikiasi gani jinsi viongozi wa cdm walivyofedheheka kwakuwa na lowasa .

Ona prof Safari kajiinamia.

Ona msigwa

Ona Dr slaa. Hatari
Hio picha nikiangalia mara mbii mbili inanipa wakati mgumu sana cheki msigwa kama anasubiri kwenda jandon alivyonywea
 
aliyewaita nyumbu hakukosea,,, na hapa huna ulichojibu,, unajuwaje pande zinalinga bila kupiga kura??? na kwanini chama kipasuke ikiwa katiba na kanuni za uendeshaji zikifuatwa??? wewe huoni kwa uamuzi wa Mbowe wa kumtaka Msigwa ulitikisa chama kiasi kanda kutaka kupasuka??? Ungefanyika uchaguzi wa kushinda kashinda na wa kushindwa kashindwa na kisha wapiga kura wangeridhika....

Na baada ya kupigiwa kura ya ndio/hapana kura alizopata Msigwa zilidhihiridha kuwa asingeshinda,,,, kura zilizo mkataa ukijumlisha na idadi ya watu waliogomea kupiga kura zinazidi idadi ya kura za ndio,,,hii ni dhahiri mwenyekiti wa nyasa ni mteule wa mbowe Kwa faida zake mbowe na si chama,, nyumbu zinduka mto mara una mamba
Ndio maana nikauliza zitto kabwe alishindana na nani kuwa kiongozi mkuu wa chama??? Embu tuanzie hapo kwanza na alipata kura ngapi dhidi ya wagombea wengine...... tuanzie hapo kwanza ndio nikueleweshe maana ya siasa za makundi
 
Wtakupa jibu gani wakati kila uchafu Wamebaki nao wao?
Ajenda gani chadema haina??? Hajui bado tunakemea ufisadi au hujasoma maoni ya KUB ya juzi tu hapa kwa wizara ya madini kuhusu mikataba ya kinyonyaji ???

Tunadai utawala wa kisheria yaani katiba ndio iongoze nchi sio mihemko ya mtu binafsi..... sio agenda??? Tungedai katiba mpya kma hatuna ajenda au dira???

Anyway kasome ilani ya chadema utaelewa agenda zetu zote ni zipi sio mnaropoka tu huku hamtaki kusoma chochote
 
Ajenda gani chadema haina??? Hajui bado tunakemea ufisadi au hujasoma maoni ya KUB ya juzi tu hapa kwa wizara ya madini kuhusu mikataba ya kinyonyaji ???

Tunadai utawala wa kisheria yaani katiba ndio iongoze nchi sio mihemko ya mtu binafsi..... sio agenda??? Tungedai katiba mpya kma hatuna ajenda au dira???

Anyway kasome ilani ya chadema utaelewa agenda zetu zote ni zipi sio mnaropoka tu huku hamtaki kusoma chochote
Mpaka mtakapo rudisha ajenda ya kupambana na ufisadi ndio tutawaelewa. Siyo vinginevyo
 
Mpaka mtakapo rudisha ajenda ya kupambana na ufisadi ndio tutawaelewa. Siyo vinginevyo
Agenda imeisha lini kwani?? Mdee alipopiga kelele kuhusu UDA alikuwa anasimamia ajenda gani?? Mnyika hotuba ya juzi kabisa hapa hta wiki haijamaliza alikuwa anaongelea nini?? Ufisadi umeisha lini?? Ripoti ya CAG kwani hukuisoma???

Kma mnataka amsha amsha basi ruhusuni mikutano ili wakajilipue maana mlizoea kwenye mikutano ya kisiasa tu ssa mmezuia sahvi tunaongelea bungeni!!! Ssa ni lini ajenda ya ufisadi imeisha ?? Kwani mikataba mibovu au wahusika wakuu wa wizi mmewakamata kuanzia richmond mpaka bandari???
 
Back
Top Bottom