Bashiru na Pole Pole wanakihujumu sana Chama chetu.... Walahi hawa watu hawafai kubaki baada ya huu uchaguzi..... Kumbe jasiri aachi asili, Bashiru was CUF member. kirusi tuliletewa.
Sasa hapo kuna nini?? Mwambieni mpigapicha wenu siku nyingine awe anapiga picha kupitia drone ili tuone ukweli halisi. Angalia nyomi ya Tanganyika Packers TBC1 live. Lakini bado siku 13 tu tuwanyooshe!
Sasa hapo kuna nini?? Mwambieni mpigapicha wenu siku nyingine awe anapiga picha kupitia drone ili tuone ukweli halisi. Angalia nyomi ya Tanganyika Packers TBC1 live. Lakini bado siku 13 tu tuwanyooshe!