vasco sanga
New Member
- May 9, 2015
- 4
- 0
Bola kijacho hata kama n kibaya kuliko kilicho niumiza mpaka sasa
Chadema siyo viongozi jamaa kundi la wahuni tu sijawahi kuona viongozi wenye tabia kama za viongozi wa chadema hovyo kabisa.
That is not authentic..
Wewe naye ni taahira mwingine usiyejitambua. Huna tofauti na wasaliti. Buku 7 zinakufanya usione uchafu wa hali ya juu unaofanywa dhidi ya Watanzania na chama chenu cha wahuni. Alishafukuzwa huyo siku nyingi, sasa iweje tena mtu ambaye anataka kutusulubu aandike barua ya kutaka kujiunga nasi!? Acha kukurupuka na kuropoka....Kwenye Kiswahili hakuna neno "surubu".
Kuna kila dalili, kutokana na tabia za wafuasi wake ambao zimejidhihirisha humu, kwamba Chadema kikaja kuwa na utawala wa kidikteta.
Nasema hivyo, kwakua, members wengi wenye mtazamo wa kukisupport chama hicho ni wale ambao hawataki mawazo taofauti na yao.
Sijui ni kwa namna gani binadamu, anakua na uwezo wa kumkataza mwenzake kufikiri...ama hata kuzungumza mawazo yake?? Ni ajabu sana.
Ukienda kinyume na mawazo ya mashabiki wa chama hicho lazima upokee matusi ni ajabu sana.
Inashangaza kuona ni kwa namna gani serikali ya ccm ingeamua kua na hulka kandamizi , vyama vya upinzani vingepata wapi kuzungumza haya wanayoyazungumza.
Nasikitishwa na ninaomba sana Mungu Chama cha namna hii kisipate nafasi ya kutuongoza, kwa hulka hizi, kuna hatari haki za raia wengi kukandamizwa.
Mungu hawezi kupokea dua za magamba na wachumia tumbo kama wewe
Ccm ina miaka takriban 40 sasa, ni lini ccm umewahi kumuona mwanachama wake akiipeleka mahakamani? Na ngoja tuwatoe madarakani hao watu walioko kinafki kwa sababu mmekamata dola hivyo hata wanaofanyiziwa inabidi wanyamaze tu ili kubaki ndani ya mlo watakavyowageuka.
Ulizeni Sauti Ya WananchiKuna kila dalili, kutokana na tabia za wafuasi wake ambao zimejidhihirisha humu, kwamba Chadema kikaja kuwa na utawala wa kidikteta.
Nasema hivyo, kwakua, members wengi wenye mtazamo wa kukisupport chama hicho ni wale ambao hawataki mawazo taofauti na yao.
Sijui ni kwa namna gani binadamu, anakua na uwezo wa kumkataza mwenzake kufikiri...ama hata kuzungumza mawazo yake?? Ni ajabu sana.
Ukienda kinyume na mawazo ya mashabiki wa chama hicho lazima upokee matusi ni ajabu sana.
Inashangaza kuona ni kwa namna gani serikali ya ccm ingeamua kua na hulka kandamizi , vyama vya upinzani vingepata wapi kuzungumza haya wanayoyazungumza.
Nasikitishwa na ninaomba sana Mungu Chama cha namna hii kisipate nafasi ya kutuongoza, kwa hulka hizi, kuna hatari haki za raia wengi kukandamizwa.
CHADEMA hawana dhamira ya kufanya hivyo?Wananchi wanahitaji maendeleo.
Mwongo weee !!!Kuna kila dalili, kutokana na tabia za wafuasi wake ambao zimejidhihirisha humu, kwamba Chadema kikaja kuwa na utawala wa kidikteta.
Nasema hivyo, kwakua, members wengi wenye mtazamo wa kukisupport chama hicho ni wale ambao hawataki mawazo taofauti na yao.
Sijui ni kwa namna gani binadamu, anakua na uwezo wa kumkataza mwenzake kufikiri...ama hata kuzungumza mawazo yake?? Ni ajabu sana.
Ukienda kinyume na mawazo ya mashabiki wa chama hicho lazima upokee matusi ni ajabu sana.
Inashangaza kuona ni kwa namna gani serikali ya ccm ingeamua kua na hulka kandamizi , vyama vya upinzani vingepata wapi kuzungumza haya wanayoyazungumza.
Nasikitishwa na ninaomba sana Mungu Chama cha namna hii kisipate nafasi ya kutuongoza, kwa hulka hizi, kuna hatari haki za raia wengi kukandamizwa.