johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,993
- 142,010
Hili ni ombi langu kwenu kwamba tuandaane kabisa kisaikolojia.
Leo Shujaa Magufuli hayupo lakini akina Prof. Kabudi wapo na wamekaa kando kana kwamba hawakuhusika na haya mabilioni ya fedha tunayolipishwa.
Ikiwezekana ifanyike kama Kenya wanaosaini mikataba mali zao zifanyiwe valuation Ili ukitokea uzembe walipishwe wao ni binafsi.
Nchi ngumu sana hii!
Leo Shujaa Magufuli hayupo lakini akina Prof. Kabudi wapo na wamekaa kando kana kwamba hawakuhusika na haya mabilioni ya fedha tunayolipishwa.
Ikiwezekana ifanyike kama Kenya wanaosaini mikataba mali zao zifanyiwe valuation Ili ukitokea uzembe walipishwe wao ni binafsi.
Nchi ngumu sana hii!