CHADEMA na Amani ya Tz.

Paul Happe

New Member
Jun 16, 2011
2
0
Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimekuwa mstari wa mbele kutetea haki na maslahi ya mtanzania, hii ni kupitia hoja za wabunge wake bungeni, maandamano halali ambayo nguvu ya serikali huingilia kati na kuyaita haramu, vyombo vya habari na vijalida mbalimbali bila kusahau matumizi ya tekinolojia kama hii 'social network' ya jamii forum. Nawashangaa wafuasi wa chama cha kijani wakijaa juu kwa hoja ya kulinda amani, hapana..ukweli ni kuwa wanaogopa uwazi unaowekwa hadharani na Chadema hivyo wanadhani wanachonganishwa na wananchi. Hainingii akilini pale mbunge anaposema vurugu kwenye taasisi za elimu ya juu zinachangiwa na chadema kwa kuwa wanarubuni wanavyuo kugoma, bado haingii akilini, nadhani mwanafunzi wa chuo kikuu ana upeo mpana wa kuona hali halisi na kujuua ukweli ulipo.
CCM waache uwoga, hili ni jukwaa la siasa inabidi wagombane kwa kutumia hoja zilizo na tija na siyo zile potofu.
 
"The debate over whether the prevailing tranquillity in Tanzania constituted real peace or it is just an absence of war rocked the august House yesterday.The assertion by some members of Parliament from the opposition that Tanzania did not have peace because of wanton acts of injustices and infringement of people’s rights drew strong condemnation from a ruling party legislator who quoted the holy scriptures to argue his case.

Speaking when debating the Prime Minister’s Office 2011/12 budget yesterday, Salum Barwany (Lindi Urban-CUF), Ezekiel Wenje (Nyamagana-Chadema) and Moses Machali (Kasulu Urban-NCCR Mageuzi) said what prevailed in Tanzania was just “tranquillity associated with fear” and not real peace. They cited poverty, gross injustices, excessive use of force by police and violation of people’s basic rights as indicators of lack of peace" -
Tanzania News - International News, Tanzania Local News, All Tanzania News, News for Tanzania, News from Tanzania, Tanzania, News!

Kimsingi watu wanachanganya kati ya kutokuwepo kwa vita na kuwepo kwa amani. Dr. Martin Luther King Jr, once said real peace did not mean the absence of war but the presence of justice. Sasa swali la kujiuliza ni kwamba hapa Tanzania kuna usawa, haki na utawala wa sheria? Au ni utawala wa kutumia nguvu na mabavu ikiambatana na kupora haki za wananchi? Hatuna amani majumbani, barabarani mpaka maofisini, lakini hatuna vita vilevile.
 
pengine bwana Paul bado hujaweza kujua misingi ya hayo maandamano ya amani!!hayo maandamano yenu ni ya uchochezi wa kuivuruga amani,kibaya zaidi hamfanyi maandamano kwa lengo la kuwatia hamasa juu ya maendeleo ya tz ila ni hamasa kwa wananchi kuipenda na kujiunga na cdm kwa kujifanya wanamaendeleo kumbe waroho watafuta madaraka kwa lazima!!watz washashtuka hamtushiki tena maskio
 
Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) kimekuwa mstari wa mbele kutetea haki na maslahi ya mtanzania, hii ni kupitia hoja za wabunge wake bungeni, maandamano halali ambayo nguvu ya serikali huingilia kati na kuyaita haramu, vyombo vya habari na vijalida mbalimbali bila kusahau matumizi ya tekinolojia kama hii 'social network' ya jamii forum. Nawashangaa wafuasi wa chama cha kijani wakijaa juu kwa hoja ya kulinda amani, hapana..ukweli ni kuwa wanaogopa uwazi unaowekwa hadharani na Chadema hivyo wanadhani wanachonganishwa na wananchi. Hainingii akilini pale mbunge anaposema vurugu kwenye taasisi za elimu ya juu zinachangiwa na chadema kwa kuwa wanarubuni wanavyuo kugoma, bado haingii akilini, nadhani mwanafunzi wa chuo kikuu ana upeo mpana wa kuona hali halisi na kujuua ukweli ulipo.
CCM waache uwoga, hili ni jukwaa la siasa inabidi wagombane kwa kutumia hoja zilizo na tija na siyo zile potofu.


Time will tell!
 
Back
Top Bottom