Niko hapa kwenye viwanja vya pasiansi mwanza this tym.. Namuona Higghness Kiwia mbunge wa Ilemela, ametangaza hapa hadharan kwamba watu wa wasiangalie star tv kabisa kutafuta habar zake, hawatakaa wamuone coz mpinzan wake ambaaye ni mmiliki wa kituo hicho, amezuia kabisa haabar zake kuruka on air.. Jamaa anajitetea hapa kwamba amefanya vitu toka ameingia.. Inaonekana kama raia hawamuelewi hivi. Siasa hizi tabu kweli...... Ila kiukwel anasema amekomaa sana mpaka fungu la hospitali ya wilaya ya ilemela limeshafika..