Mkuu Ndinani,
Habari za kupeana mawazo ya kuhusu namna kuendesha chama makini huwez uzifanya kwenye klabu za pombe ama kwenye vilinge vya soga( kahawa ). Mantiki ya uzi wangu ni kuwashauri CHADEMA wamuombe mzee Jenerali Ulimwengu awe mmoja wa washauri wa chama FORMAL not INFORMAL. Hata mimi huwa naonana na Mnyika kwenye canteen tunapokunywa chai na huwa ninamshauri mambo ya chama chao, lakini maudhui yake yatakuwa less concerned ukilinganisha na ushauri ambao ningetoa iwapo ningetambuliwa katika mfumo wa chama chao.
Jenerali Ulimwengu si mtu wa aina hiyo, ana uzito wa kipekee sana katika taifa letu Tanzania. Kwamba alikuwa knye system akaboronga si kweli, ninachofahamu ni kwamba the man was so strong kuwaambia ukweli majambazi na wanaotafuna Tanzania yetu bila huruma kwa kalamu yake na maneno yake amabayo yamemfanya awe mhanga hadi leo.
Ndiyo maana ninawashauri wakuu wa CHADEMA kulifikiria hili suala ikiwezakana wamuajiri kabsa kwa kazi hiyo kama walivyomuita Profesa Baregu, Jenerali deserves also!