ukawa mchukueni lowasa mpoteze imani mliyoaminiwa na watanzania kwa kupigana na rushwa na ufisadi.mtasambaratika na kubaki historia..
hivyo vyama vilishakufa mbona, siku hizi kuna UKAWA, na UKAWA wenyewe unakufa.Solution ni CUF na CHADEMA wote kuuwa vyama vyao na kuhamia ACT WAZALENDO
Maghufuli atosha.haina ulazima lowasa awe raisi.
Walishabaki historia.ukawa mchukueni lowasa mpoteze imani mliyoaminiwa na watanzania kwa kupigana na rushwa na ufisadi.mtasambaratika na kubaki historia..
Lowassa atulie tu, ukawa hawamuhitaji.
Mkuu hapa kinachotakiwa nikuangalia namba, kama namba zinakubali siodhambi kumchukua huyu mamvi.
Ukawa wakipiga hesabu wakaona inafaa kumchukua kwaajili ya kuongeza majority wasiaite nimbinu za ushinditu, na siombaya.
I will vote for them.
Ila siyo kupewa nafasi ya kugombea Urais.
mhhhh! hiyo avatar yakoMaghufuli atosha.