Nawaombeni sana viongozi wa juu chadema waamue kukitoa chama chao katika uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la chalinze.sababu ni kuwa wakimweka mgombea wao sijui ataweza vipi kushindana na mtoto wa rais,kamanda mkuu wa vikosi vya ulinzi na usalama,mteuzi wa viongozi wote wa takukuru,tume ya uchaguzi nk.ikiwa chaguzi zingine za ubunge zilikuwa na udanganyifu na wizi wa kura sembuse huu wa mtoto wa rais?naomba msipoteze pesa na muda wenu.nani leo katika ccm,polisi,Nec wapo tayari kuona ridhwani anaaguka?haki haitotendeka.huo ndio ukweli unaotokana na matukio mbalimbali yaliyowahi kutokea katika chaguzi mbalimbali.