CHADEMA msipobadilika chama chenu kitafutiwa usajili

CHADEMA msipobadilika chama chenu kitafutiwa usajili

mkafrend

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2014
Posts
3,045
Reaction score
1,503
Mimi nawaona na kuwafananisha kama watu ambao mmepanda mbegu za unafiki, uzandiki na uchochezi.

Nimewafuatilia humu sasa kama miaka 6 hivi - kila post ihusuyo serikali lazima muingie humu kutukana, kukosoa, kuchochea, kukashifu n.k na kwa post zihusuzo chadema mnazisifia, mnazishangilia hata kama ni mbovu.

Hebu fikiri, lini mlichukia kuwapokea mafisadi walioshindwa maisha CCM?

Lini mlichukia kuongozwa na Mwenyekiti wa chama anayetuhumiwa kukwepa kodi ktk shirika la NHC?

Lini mlichukia kudanganywa kuwa hata usipofanya kazi serikali ijayo ya chadema itawapa maisha na fedha?

Lini mlipofurahi kuona barabara za lami kona zote za nchi?

Lini mlipofurahi kuona serikali ya CCM ikisambaza umeme vijijini?

Lini mlipofurahi polisi wakifanya mazoezi ya kulinda watu na mali zao?

Lini mlipofurahi kuona walimu wakiongezewa mishahara?

NINYI NI KIZAZI KILE (OLE WA NCHI NA BAHARI)

Kubalini kubadilika, acheni roho za akina farao.
Msakila KABENDE
Mshauri wenu
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
Unaota wewe. Pia hakukuwa na haja ya kuweka jina lako, bila shaka unajipendekeza.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu ebu kuwa serious maana mjukuu wangu ana maswali bora kuliko yako. Lakini majibu ya mjukuu wangu kwa maswali yako yatakuwa unaweka ujinga uliokithiri hadharani.
 
Mimi nawaona na kuwafananisha kama watu ambao mmepanda mbegu za unafiki, uzandiki na uchochezi.

Nimewafuatilia humu sasa kama miaka 6 hivi - kila post ihusuyo serikali lazima muingie humu kutukana, kukosoa, kuchochea, kukashifu n.k na kwa post zihusuzo chadema mnazisifia, mnazishangilia hata kama ni mbovu.

Hebu fikiri, lini mlichukia kuwapokea mafisadi walioshindwa maisha CCM?

Lini mlichukia kuongozwa na Mwenyekiti wa chama anayetuhumiwa kukwepa kodi ktk shirika la NHC?

Lini mlichukia kudanganywa kuwa hata usipofanya kazi serikali ijayo ya chadema itawapa maisha na fedha?

Lini mlipofurahi kuona barabara za lami kona zote za nchi?

Lini mlipofurahi kuona serikali ya CCM ikisambaza umeme vijijini?

Lini mlipofurahi polisi wakifanya mazoezi ya kulinda watu na mali zao?

Lini mlipofurahi kuona walimu wakiongezewa mishahara?

NINYI NI KIZAZI KILE (OLE WA NCHI NA BAHARI)

Kubalini kubadilika, acheni roho za akina farao.
Msakila KABENDE
Mshauri wenu
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Bwana mkubwa haya ulioandika umewaza kinyume chake ??!!
1. Ni lini Ccm(Lumumba) waliwahi kuwaonea imani upinzani japo kiduchu ??.
2. Na umewahi kujuwa maana ya Siasa za upinzani ? na kama umewahi kosa la CDM iko wapi ?!
3. Wanaopandikiza mbegu ya chuki si upinzani bali watawala kwa kuacha kutenda haki kwa waTz wenye imani tofauti na Ccm, hapa mifano ni mingi e.g. CHAGUZI ZA MAMEYA Mwz, Tanga, Dsm na hata zile za Urais Zanzibar na hata bara. Huwezi kutaka wapinzani wako wakushangilie .

Serikali imeundwa na jukumu lake ni kuhudumia wananchi na wasisubiri washangiliwe ni jukumu lao ndio wanaotoza kodi
 
Mimi nawaona na kuwafananisha kama watu ambao mmepanda mbegu za unafiki, uzandiki na uchochezi.

Nimewafuatilia humu sasa kama miaka 6 hivi - kila post ihusuyo serikali lazima muingie humu kutukana, kukosoa, kuchochea, kukashifu n.k na kwa post zihusuzo chadema mnazisifia, mnazishangilia hata kama ni mbovu.

Hebu fikiri, lini mlichukia kuwapokea mafisadi walioshindwa maisha CCM?

Lini mlichukia kuongozwa na Mwenyekiti wa chama anayetuhumiwa kukwepa kodi ktk shirika la NHC?

Lini mlichukia kudanganywa kuwa hata usipofanya kazi serikali ijayo ya chadema itawapa maisha na fedha?

Lini mlipofurahi kuona barabara za lami kona zote za nchi?

Lini mlipofurahi kuona serikali ya CCM ikisambaza umeme vijijini?

Lini mlipofurahi polisi wakifanya mazoezi ya kulinda watu na mali zao?

Lini mlipofurahi kuona walimu wakiongezewa mishahara?

NINYI NI KIZAZI KILE (OLE WA NCHI NA BAHARI)

Kubalini kubadilika, acheni roho za akina farao.
Msakila KABENDE
Mshauri wenu
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Bora kifutiwe tubaki na SAU, umefurahi sasa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hii nafasi ya mkurugenzi aliyetumbiliwa Wa mkinga bado aijazibwa tu tupumzike maana naona vijana Wa Lumumba wanakasi sana
 
Mimi nawaona na kuwafananisha kama watu ambao mmepanda mbegu za unafiki, uzandiki na uchochezi.

Nimewafuatilia humu sasa kama miaka 6 hivi - kila post ihusuyo serikali lazima muingie humu kutukana, kukosoa, kuchochea, kukashifu n.k na kwa post zihusuzo chadema mnazisifia, mnazishangilia hata kama ni mbovu.

Hebu fikiri, lini mlichukia kuwapokea mafisadi walioshindwa maisha CCM?

Lini mlichukia kuongozwa na Mwenyekiti wa chama anayetuhumiwa kukwepa kodi ktk shirika la NHC?

Lini mlichukia kudanganywa kuwa hata usipofanya kazi serikali ijayo ya chadema itawapa maisha na fedha?

Lini mlipofurahi kuona barabara za lami kona zote za nchi?

Lini mlipofurahi kuona serikali ya CCM ikisambaza umeme vijijini?

Lini mlipofurahi polisi wakifanya mazoezi ya kulinda watu na mali zao?

Lini mlipofurahi kuona walimu wakiongezewa mishahara?

NINYI NI KIZAZI KILE (OLE WA NCHI NA BAHARI)

Kubalini kubadilika, acheni roho za akina farao.
Msakila KABENDE
Mshauri wenu
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Ukiona namna hiyo ujue huduma za kijamii zimewashinda kutekeleza sasa mnataka watu wote wajipendekeze na kukiri uongo kwamba mnaweza na kusifiwa ujinga. Ukitaka kujua kwamba wewe ni mjinga toka lini shabiki wa Simba akaishangila Yanga hata ikichukua kombe la Africa. Hiyo nidhamu ya woga/unafiki baki nayo wewe maana huna uwezo wa kujitegemea zaidi ya kujipendekeza ili ufanikiwe kimaisha. Pelekeni dawa mahospitalini na sio kutaka kusifiwa wakati mnakusanya kodi za wananchi.
 
Mimi nawaona na kuwafananisha kama watu ambao mmepanda mbegu za unafiki, uzandiki na uchochezi.

Nimewafuatilia humu sasa kama miaka 6 hivi - kila post ihusuyo serikali lazima muingie humu kutukana, kukosoa, kuchochea, kukashifu n.k na kwa post zihusuzo chadema mnazisifia, mnazishangilia hata kama ni mbovu.

Hebu fikiri, lini mlichukia kuwapokea mafisadi walioshindwa maisha CCM?

Lini mlichukia kuongozwa na Mwenyekiti wa chama anayetuhumiwa kukwepa kodi ktk shirika la NHC?

Lini mlichukia kudanganywa kuwa hata usipofanya kazi serikali ijayo ya chadema itawapa maisha na fedha?

Lini mlipofurahi kuona barabara za lami kona zote za nchi?

Lini mlipofurahi kuona serikali ya CCM ikisambaza umeme vijijini?

Lini mlipofurahi polisi wakifanya mazoezi ya kulinda watu na mali zao?

Lini mlipofurahi kuona walimu wakiongezewa mishahara?

NINYI NI KIZAZI KILE (OLE WA NCHI NA BAHARI)

Kubalini kubadilika, acheni roho za akina farao.
Msakila KABENDE
Mshauri wenu
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Mbona hujasema sababu ya kufutiwa usajiri? Au kisa ni kuikosoa serikali kwenye mitandao ya kijamii?
 
Mimi nawaona na kuwafananisha kama watu ambao mmepanda mbegu za unafiki, uzandiki na uchochezi.

Nimewafuatilia humu sasa kama miaka 6 hivi - kila post ihusuyo serikali lazima muingie humu kutukana, kukosoa, kuchochea, kukashifu n.k na kwa post zihusuzo chadema mnazisifia, mnazishangilia hata kama ni mbovu.

Hebu fikiri, lini mlichukia kuwapokea mafisadi walioshindwa maisha CCM?

Lini mlichukia kuongozwa na Mwenyekiti wa chama anayetuhumiwa kukwepa kodi ktk shirika la NHC?

Lini mlichukia kudanganywa kuwa hata usipofanya kazi serikali ijayo ya chadema itawapa maisha na fedha?

Lini mlipofurahi kuona barabara za lami kona zote za nchi?

Lini mlipofurahi kuona serikali ya CCM ikisambaza umeme vijijini?

Lini mlipofurahi polisi wakifanya mazoezi ya kulinda watu na mali zao?

Lini mlipofurahi kuona walimu wakiongezewa mishahara?

NINYI NI KIZAZI KILE (OLE WA NCHI NA BAHARI)

Kubalini kubadilika, acheni roho za akina farao.
Msakila KABENDE
Mshauri wenu
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Nawe jiulize
 
Utafutwaaa wewe cyo chadema

Mwenzio aweza kutafsiri hii statement yako ya"utafutwa wewe" kama "kuondolewa uhai wake!!"

Cheki tu kuleeeeee walivyoitafsiri kauli ya Godbless Lema dhidi ya "Rais mtukufu Mungu - mtu", wakasahau za kwao chafuchafu na zinazotweza utu wa mtu dhidi ya Edward Lowassa mwaka jana za kumuita marehemu mtarajiwa,
mgonjwa wa......nk nk mwisho wa siku wakawa wanakufa wao mmoja baada ya mwingine.....Lowassa huyooooo anadunda tu!!

Ama kweli Mungu huyu mwenye enzi, hadhihakiwi milele. Ukijaribu tu, anaonesha mara moja, kuwa yeye ndiye Mungu wa miungu yote duniani na akhera!!
 
Back
Top Bottom