CHADEMA msipobadilika chama chenu kitafutiwa usajili

CHADEMA msipobadilika chama chenu kitafutiwa usajili

Mimi nawaona na kuwafananisha kama watu ambao mmepanda mbegu za unafiki, uzandiki na uchochezi.

Nimewafuatilia humu sasa kama miaka 6 hivi - kila post ihusuyo serikali lazima muingie humu kutukana, kukosoa, kuchochea, kukashifu n.k na kwa post zihusuzo chadema mnazisifia, mnazishangilia hata kama ni mbovu.

Hebu fikiri, lini mlichukia kuwapokea mafisadi walioshindwa maisha CCM?

Lini mlichukia kuongozwa na Mwenyekiti wa chama anayetuhumiwa kukwepa kodi ktk shirika la NHC?

Lini mlichukia kudanganywa kuwa hata usipofanya kazi serikali ijayo ya chadema itawapa maisha na fedha?

Lini mlipofurahi kuona barabara za lami kona zote za nchi?

Lini mlipofurahi kuona serikali ya CCM ikisambaza umeme vijijini?

Lini mlipofurahi polisi wakifanya mazoezi ya kulinda watu na mali zao?

Lini mlipofurahi kuona walimu wakiongezewa mishahara?

NINYI NI KIZAZI KILE (OLE WA NCHI NA BAHARI)

Kubalini kubadilika, acheni roho za akina farao.
Msakila KABENDE
Mshauri wenu
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Nawe jiulize kinyume chake
. Lini ulifurahi kukua kwa upinzani
. Link ulifurahia kuona democrasia kwa vyama vya upinzani ikitekelezwa
. Link ulifurahia upinzani ukimkosoa jpm
. Link ulifurahi elimu bora kwa mtanzania nawala si bora elimu ya bure
 
hawawezi kufutiwa usajili hata wasipo badilika tatizo linakuja ni lini wataweza kujijenga katika misingi ya kuchukua nchi kwa misimamo thabiti na mipango endelevu maana kwa sasa hamna wanachokisimamia kama sio kupiga makelele mitaani na kudandia gari lolote linalopita mbele yao..
 
Nawewe Ndio mtoa ushauri acha tudharaulike Africa na ulaya.... Akili kama hiyo yajiita mshaur watanzania tumemkosea nin Mungu...
 
Mimi nawaona na kuwafananisha kama watu ambao mmepanda mbegu za unafiki, uzandiki na uchochezi.

Nimewafuatilia humu sasa kama miaka 6 hivi - kila post ihusuyo serikali lazima muingie humu kutukana, kukosoa, kuchochea, kukashifu n.k na kwa post zihusuzo chadema mnazisifia, mnazishangilia hata kama ni mbovu.

Hebu fikiri, lini mlichukia kuwapokea mafisadi walioshindwa maisha CCM?

Lini mlichukia kuongozwa na Mwenyekiti wa chama anayetuhumiwa kukwepa kodi ktk shirika la NHC?

Lini mlichukia kudanganywa kuwa hata usipofanya kazi serikali ijayo ya chadema itawapa maisha na fedha?

Lini mlipofurahi kuona barabara za lami kona zote za nchi?

Lini mlipofurahi kuona serikali ya CCM ikisambaza umeme vijijini?

Lini mlipofurahi polisi wakifanya mazoezi ya kulinda watu na mali zao?

Lini mlipofurahi kuona walimu wakiongezewa mishahara?

NINYI NI KIZAZI KILE (OLE WA NCHI NA BAHARI)

Kubalini kubadilika, acheni roho za akina farao.
Msakila KABENDE
Mshauri wenu
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Sasa hapa si unawatafuta wakutukane tuu na kukukashifu? Unafikiri ni lugha gani inakufaa zaidi hiyo? Bora kufuga ng'ombe utamkamua maziwa uwape watoto wajenge afya kuliko kuwa watu wa aina yako kwenye jamii.
 
Ndugu hiki kizazi cha 0
Nimtihani
Wacha wajidanganye
Wataendelea kukosoa kila jambo mpaka kuzimu lakini hawata pata faida yeyote
 
Hahahahaa........Kijana Umepanik, alafu hujakatazwa MwanaMagamba kuja humu nawe ushangilie hayo uliyoyaorozesha, Tatizo havishangiliki!
Ukiigiza kushangilia unaonekana ni mmoja kati ya wale wa TZ Wa4........
Kiufupi tu ni kwamba wanaoikubali
CCM pande hizi muko bachache mazee fanyanga kujiongezanga next time!
"Kudhihirisha umepanik Joh, eti
Chama la wana litafutiwa usajili......Koro weweee!
 
Sasa hapa si unawatMta wakutukane tuu na kukukashifu? Unafikiri ni lugha gani inakufaa zaidi hiyo? Bora kufuga ng'ombe utamkamua maziwa uwape watoto wajenge afya kuliko kuwa watu wa aina yako kwenye jamii.

Wametukana sana
Lipi walilo faidi zaidi ya kuonekana wajinga!!!

Mtu anaye kupenda anaweza kukupa Viroba kama ujira wako uitukane serikali!!!
Kuweni na akili nyie
 
Hahahahaa........Kijana Umepanik, alafu hujakatazwa MwanaMagamba kuja humu nawe ushangilie hayo uliyoyaorozesha, Tatizo havishangiliki!
Ukiigiza kushangilia unaonekana ni mmoja kati ya wale wa TZ Wa4........
Kiufupi tu ni kwamba wanaoikubali
CCM pande hizi muko bachache mazee fanyanga kujiongezanga next time!
"Kudhihirisha umepanik Joh, eti
Chama la wana litafutiwa usajili......Koro weweee!

Mmoja kati ya wanne
Yupi hapa
MBOWE, Lema , lissu , Lowassa?
 
Naona umekimbia file lako huko kwenye hospital yenu ya vichaa huko Idodomya!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Silipendi lichadema na machadema yake ni chama la kueneza majungu tu.

Bora lifutwe
 
Siku hizi Jf imekua ya ajabu ajabu sana ... Vipi tena wakuu maana uzi kama huo angeandika mtoto wa la tatu tungemsamehe na kujua kua akikua ataweza kuacha lkn kama alieandika hivyo hovyo ni mtu mzima kuna tatizo kubwa..
 
Mkuu umethibitisha kuwa unachokiandika ama ni ushabiki wa kijinga au unaandika usichokielewa.Kama ulikuwa hujui basi fahamu kuwa umeme wa vvijijini haujaletwa kwa hela za serikali ya ccm bali ni msaada toka world bank,nyie mna uwezo wa kusambaza umeme tz nzima???mbona hamkuwahi kufanya hivyo kabla ya huu msaada kuja??mshahara upi wa waalimu uloongezwa tofaut na madeni lukuki ambayo mnadaiwa na waalimu na watumishi wa uma ambayo mmeshindwa kuilipa mnasingizia uhakiki!!ni lini polisi wakafanya mazoezi ya kuwalinda raia hapo kabla ya ukuta kutangazwa?hujui lami zinajengwa chini ya kiwango na huwa finyu kiasi cha kusababisha ajali nyingi??lami ya kilwa road umekarabatiwa mara ngap vile??au unajifanya hukumbuki???ni hatari sana mtu mzima kujitoa ufahamu ili alishe tumbo lake
 
Ukikosoa chadema lzm uwe tayari kutukanwa - na hakuna wa kulaumu kwa kuwa ndiyo malezi mnayopatiwa na wakuu wenu
 
Back
Top Bottom