CHADEMA msijifiche kwa Lipumba

CHADEMA msijifiche kwa Lipumba

Aaron Arsenal

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2014
Posts
24,498
Reaction score
28,720
Kweli wanachama na wafuasi wa CHADEMA wana sahau. Baada ya kufeli na kubomoka kwa UKUTA sasa wametunga uongo kuwa Prof. Lipumba amejiunga na ACT- Wazalendo.

CHADEMA hawa hawa wamesahau kuwa mwaka jana 2015 walisema fisadi Lowassa atajiunga na ACT-Wazalendo. Leo wamesahau waliyosema mwaka jana juu ya Lowassa kujiunga na ACT-Wazalendo. Wanachotaka ni kutusahaulisha suala la kufeli na kubomoka kwa UKUTA.

Wamedanganya kuwa waliombwa na viongozi wa dini ili wafanye mazungumzo na Serikali. Ukiwauliza, mbona hatukuona hicho kikao cha CHADEMA na viongozi wa dini?

Je; Mwenyekiti wa kidini na wajumbe wa kidini ni akina nani wanaosimamia majadiliano hayo.

Kweli wanachama na wafuasi wa CHADEMA wana ubongo wa kuku.
 
Kweli Wanachama na wafuasi wa CHADEMA wana Ubongo wa kuku.Baada ya kufeli na kubomoka kwa UKUTA sasa wametunga uongo kuwa Prof.Lipumba amejiunga na ACT-WAZALENDO.Chadema hawa hawa wamesahau kuwa mwaka jana 2015 walisema Fisadi Lowassa atajiunga na ACT-WAZALENDO.Leo wamesahau waliyosema mwaka jana juu ya Lowassa kujiunga na ACT-WAZALENDO.Wanachotaka ni kutusahaulisha suala la kufeli na kubomoka kwa UKUTA.

Wamedanganya kuwa waliombwa na viongozi wa dini ili wafanye mazungumzo na Serikali.Ukiwauliza,mbona hatukuona hicho kikao cha chadema na viongozi wa dini?

Je;Mwenyekiti wa kidini na wajumbe wa kidini ni akina nani wanaosimamia majadiliano hayo.

Kweli Wanachama na Wafuasi wa Chadema Wani waa Ubongo wa kuku.
Hivi wewe wawapi huangaliagiTV,husomi Magazeti,hukuwaona viongozi wa dini wakitoa matamko ya kuwasihi CHADEMA? Ulitaka kikao waje wafanyie chumbani kwako,hivi lipumba ana impact kwa siasa za sasa?
 
Muosha miguu ya Mafisadi kama wewe lzm njaa ikupige kweli kweli.

Mafisadi na wakwepa kodi wa billicanas hawana pa kutokea awamu hii
 
Hivi wewe wawapi huangaliagiTV,husomi Magazeti,hukuwaona viongozi wa dini wakitoa matamko ya kuwasihi CHADEMA? Ulitaka kikao waje wafanyie chumbani kwako,hivi lipumba ana impact kwa siasa za sasa?
Ana macho haoni ana masikio hasikii ana kichwa kimegeuka kifuu cha nazi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Muosha miguu ya Mafisadi kama wewe lzm njaa ikupige kweli kweli.

Mafisadi na wakwepa kodi wa billicanas hawana pa kutokea awamu hii
Hivi wewe huwa huna maneno mengine ya kuandika? Toka umejiunga maneno yako ndio haya haya yaani kama panya ndani ya tundu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kweli wanachama na wafuasi wa CHADEMA wana sahau. Baada ya kufeli na kubomoka kwa UKUTA sasa wametunga uongo kuwa Prof. Lipumba amejiunga na ACT- Wazalendo.

CHADEMA hawa hawa wamesahau kuwa mwaka jana 2015 walisema fisadi Lowassa atajiunga na ACT-Wazalendo. Leo wamesahau waliyosema mwaka jana juu ya Lowassa kujiunga na ACT-Wazalendo. Wanachotaka ni kutusahaulisha suala la kufeli na kubomoka kwa UKUTA.

Wamedanganya kuwa waliombwa na viongozi wa dini ili wafanye mazungumzo na Serikali. Ukiwauliza, mbona hatukuona hicho kikao cha CHADEMA na viongozi wa dini?

Je; Mwenyekiti wa kidini na wajumbe wa kidini ni akina nani wanaosimamia majadiliano hayo.

Kweli wanachama na wafuasi wa CHADEMA wana ubongo wa kuku.
Wewe ni nani hata ujue mipango yote ya ndani ya chadema? Umeshiba ugali usiku huu, halafu unaamua kuja kubeua hapa jamiifroum.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Chadema ndio wana muandama Lipumba kuliko wana CUF
Hawa jamaa wanataka kukiua CUF kama walivyoimaliza NCCR.....

Leo hii Mbatio yupo NCCR kwasababu tu ya Ubunge... Lakini akili ipo Chadema
 
Hivi wewe huwa huna maneno mengine ya kuandika? Toka umejiunga maneno yako ndio haya haya yaani kama panya ndani ya tundu
Hao Lumumba waliomsajili Lupyee wamelamba galasa. Nadhani hajaenda shule. Soon Lumumba watamtumbua, kwa kuwa amekariri maneno yale yale kamakasuku. Hajui kujenga hoja kabisa.
 
Ccm baada ya kamtego kenu ka profesa uchwara kufeli naona mnahangaika kumfariji kisaikolojia...mmalizieni fedha zake mzee wa watu apumzike siasa
 
Muosha miguu ya Mafisadi kama wewe lzm njaa ikupige kweli kweli.

Mafisadi na wakwepa kodi wa billicanas hawana pa kutokea awamu hii
Huyu bepari uchwara lazima afirisiwe awamu hii alikua anaishi kwa janja janja
 
Muosha miguu ya Mafisadi kama wewe lzm njaa ikupige kweli kweli.

Mafisadi na wakwepa kodi wa billicanas hawana pa kutokea awamu hii
Hujui toafauti ya TAX na Rent,endelea kuropoka!
 
Back
Top Bottom