CHADEMA mnawaaibisha wanachama na chama chenu

CHADEMA mnawaaibisha wanachama na chama chenu

engijape

Senior Member
Joined
Nov 8, 2014
Posts
182
Reaction score
100
Hivi inakuwaje leo wale walikuwa wanajiasibu kwa mbwembwe za kuleta upinzani, ndio wanaokiita G55. Wanatoka wapi?? Dhamira yao ni ipi?? Si uchaguzi uliisha?

Ni aibu sana kupingana viongozi wa Chadema kwa maslahi ya matumbo yenu. Hata huko mtakapohamia G55 hamtakuwa na Audacity ya kuleta mabadiliko ya upinzani.

Na sasa mnaiabisha Chama chenu kwa sababu ya uchu wa Madaraka. Kila siku Mrema unatoka kuzungumza na waandishi wa habari eti kwa kuwapinga viongozi waliochaguliwa na chama chenu. Si mkubali yaishe?? Kweli madaraka matamu.

Hata hivyo picha mnayoonyesha inadhihirisha kuwa Chadema mnaweza kuwa chama cha hovyo kuliko vyama vingine vya Upinzani. Jirekebisheni na muunganishe nguvu kwa maslahi mapana ya chama.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Hao G55 ni sisiemu B, wanafanya wanachotumwa na sisiemu A
 
Ccm na serikali ndo mnajiaibisha na Dunia ya sshv ilivyo na utabdawazi ni aibu tupu
Tena sijui kinachowagopesha ni nn?
Kazi mmefanya km yule mbunge alivyosema mnaogopa nn ss?
 
Back
Top Bottom