CHADEMA mnatukatisha tamaa wanachama wenu

CHADEMA mnatukatisha tamaa wanachama wenu

Ezemelody

Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
29
Reaction score
34
Mimi nikiwa mmoja wa makamanda haswa wa chadema,napata ghadhabu sana kuona viongozi wetu mnakuwa watu wa kulalamika kila siku hamchukui hatua kutokana na ukandamizaji wa democrasia.

Haiwezekan Rais akatuzuia kufanya siasa halafu yeye anazunguka nchi nzima anapiga kampeni nyie mnakaa mnalalamika.

Kwani haki ya kufanya siasa ni hisani ya Rais au ni takwa la kikatiba? u wapi ukamanda wenu? ni katika kulalamika? hatua gani mnachukua za kisheria?

Ifike mahala mjue kuna mamilioni ya watu tulioweka matumaini kwenu! Kwa staili hii ya kulalamika,tunazidi kumpa John kiburi anazidi kutusigina kila siku.
 
Mkuu nawe acha kulalamika chukua hatua kwa kuhama chama.
Halafu Rais hajakataza siasa, kila mbunge afanye siasa kwenye jimbo lake.Mbowe sasa hivi anafanya siasa jimboni kwake.
Rais kuzunguka nchi nzima unasema anafanya siasa, kweli we shaibu.
 
Mimi nikiwa mmoja wa makamanda haswa wa chadema,napata ghadhabu sana kuona viongozi wetu mnakuwa watu wa kulalamika kila siku hamchukui hatua kutokana na ukandamizaji wa democrasia.

Haiwezekan Rais akatuzuia kufanya siasa halafu yeye anazunguka nchi nzima anapiga kampeni nyie mnakaa mnalalamika.

Kwani haki ya kufanya siasa ni hisani ya Rais au ni takwa la kikatiba? u wapi ukamanda wenu? ni katika kulalamika? hatua gani mnachukua za kisheria?

Ifike mahala mjue kuna mamilioni ya watu tulioweka matumaini kwenu! Kwa staili hii ya kulalamika,tunazidi kumpa John kiburi anazidi kutusigina kila siku.
Acha uchochezi!!
 
Chadema ni Kigenge cha Wahuni!

Wanataka Magufuli arudishe Nyumba za Serikal lakin Wajumbe wa Kamati kuu ya Chadema Lowassa na Sumaye wanaunga Mkono kuuzwa kwa Nyumba hizo na wao ni beneficiary
 
Mimi nikiwa mmoja wa makamanda haswa wa chadema,napata ghadhabu sana kuona viongozi wetu mnakuwa watu wa kulalamika kila siku hamchukui hatua kutokana na ukandamizaji wa democrasia.

Haiwezekan Rais akatuzuia kufanya siasa halafu yeye anazunguka nchi nzima anapiga kampeni nyie mnakaa mnalalamika.

Kwani haki ya kufanya siasa ni hisani ya Rais au ni takwa la kikatiba? u wapi ukamanda wenu? ni katika kulalamika? hatua gani mnachukua za kisheria?

Ifike mahala mjue kuna mamilioni ya watu tulioweka matumaini kwenu! Kwa staili hii ya kulalamika,tunazidi kumpa John kiburi anazidi kutusigina kila siku.
we si kamanda umechukua hatua gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nikiwa mmoja wa makamanda haswa wa chadema,napata ghadhabu sana kuona viongozi wetu mnakuwa watu wa kulalamika kila siku hamchukui hatua kutokana na ukandamizaji wa democrasia.

Haiwezekan Rais akatuzuia kufanya siasa halafu yeye anazunguka nchi nzima anapiga kampeni nyie mnakaa mnalalamika.

Kwani haki ya kufanya siasa ni hisani ya Rais au ni takwa la kikatiba? u wapi ukamanda wenu? ni katika kulalamika? hatua gani mnachukua za kisheria?

Ifike mahala mjue kuna mamilioni ya watu tulioweka matumaini kwenu! Kwa staili hii ya kulalamika,tunazidi kumpa John kiburi anazidi kutusigina kila siku.
UNALALAMIKA NINI UNATAKA WAWE KAMA ODINGA?
 
Mzigo mwingine ukiutaka ni kujitiwisha siasa za Afrika na ukazitilia maanani.
Nashauri ukienda huko nenda jwa kutafuta maslahi.
 
Chadema ni nani na yuko wapi? Chadema ni wewe na wanachama wenzako, anza sasa chukua hatua, jukumu la kuimarisha chama ni la wanachama wote, kidole kimoja hakiui chawa.
 
Mimi nikiwa mmoja wa makamanda haswa wa chadema,napata ghadhabu sana kuona viongozi wetu mnakuwa watu wa kulalamika kila siku hamchukui hatua kutokana na ukandamizaji wa democrasia.

Haiwezekan Rais akatuzuia kufanya siasa halafu yeye anazunguka nchi nzima anapiga kampeni nyie mnakaa mnalalamika.

Kwani haki ya kufanya siasa ni hisani ya Rais au ni takwa la kikatiba? u wapi ukamanda wenu? ni katika kulalamika? hatua gani mnachukua za kisheria?

Ifike mahala mjue kuna mamilioni ya watu tulioweka matumaini kwenu! Kwa staili hii ya kulalamika,tunazidi kumpa John kiburi anazidi kutusigina kila siku.
Nenda kaandamane, kwani lazima uende na wenzako?
 
Ukiwa unapambana na Baunsa (mtu mwenye miraba minne) usikubali akukamate atakunyonga na utakufa hilo limewatokea(Lissu na Mdee) Sasa hivi mbinu mpya zinatafutwa za kupambana na Baunsa anayetumia nguvu mingi kwa kila jambo.....Ameanza Kamanda Mbowe kama umemsikia juzi akiwa kule Masama........
 
Back
Top Bottom