CHADEMA mmevuna mlichopanda

Daaah upumbavu wako naona Kama wangu vile,mi nahisi Kama Ni mpango hivi ahamie upinzani maana 2015 Hali haikuwa POA CCM,hivyo akiwa upinzani akigombea kura wagawane na CCM ishinde,japo nafikir CCM Wala lowasa mwenyewe hakutegemea kura zile milioni sita upinzani wangepata!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama nimekuelewa vile.
 
Katika watu wajinga duniani na ulimwenguni Tanzania ipo top 10. Lowassa aliondoka ccm kwenda cdm baadae dr. Slaa akaondoka cdm kwenda ccm indirectly kwa kile alichokiita kutokubaliana na ujio wa lowassa ndani ya cdm na baadae akapewa ubalozi ila hatukuona mapokezi ya huyo dr slaa yalikuaje, leo hii lowassa anarudi ccm kwa mapokezi ya viongozi wakubwa ndani ya serikali huku mkuu wa inchi akiwepo na akifurahia sana. Kuna ya kujiuliza kwa kina sana kwenye hili
 
Mkuu,
Naona umeandikwa kwa utulivu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa Ni kama Kamari.CDM walikua sahihi 99% kumchukua Lowasa akagombea Uraisi.
Tusidanganyane., Hakuna Uwezekano wa Upinzani kumchukua dola kwa Karatasi.
Lowasa is the best Gambler.

Udhaifu waCDm wa Sasa hautokani na cDM Wala vyama vya Upinzani wala wenyeviti wao. Bali unatokana na Nguvu ya Mwenyekiti wa CCM na Serikali yake.

Mnaangalia cDM. Haujajiuliza Taasisi gani nchini iliyobaki salama na Imara?
Ni Bunge, Ni Mahakama, Ni TLS, Ni Media, ni wasanii, Ni Viongozi wa dini, Ni CCM, ni Vyuo vikuu?

Mkubali Mkatae Lowasa hapaswi kulaumiwa kwa maamuzi yake. Umri wake sio wa kuishi kiuanaharakati Tena.

.
 
Bwana Chahali pamoja na mengi unayoyasema na uliyoyasema, uhakika ni kuwa wewe na genge lenu mmejipa jukumu la kutuamlia hatina ya nchi yetu. Akina Lowassa na wewe lenu moja tofauti na hilo mngetumia nafasi mlizo nazo kuzieleleza siasa za nchi kuikomaza nchi na kusisimua maendeleo.

Mimi ni mwanzilishi wa CCM 1977 kinachoendelea kwenye siasa za CCM ni uozo mtupu. Matokeo yake nchi inaoza wakati mkijifurahisha na siasa za watu ambazo ni unproductive.

Nawaunga mkono CHADEMA kwa maono, mikakati, hoja sahihi na kuvumilia mateso ya CCM na vyombo vya dola. Ya Lowasa ni dalili ya nje tu ya uozo wa nchi. Ila naamini CHADEMA watatoboa wakiwa wameiva kwenye tanuru mnalolichochea.

Mwenyezi Mungu awaangaze.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…