CHADEMA mmevuna mlichopanda

Kwanza ni mzee bora amerudi CCM. Hana hata impact
 
TL njia nyeupeeeeeee 2020 patachimbika, watu hawataki tena pombe.

Kwa Lissu CCM watashinda mapema sana. Hana wafuasi wengi kama Mamvi. Jimbo lake tu amekuwa akipita kwa taabu, vipi kwa nchi nzima.
 
kubenea??????..... huyu alie kwenye matazamio?........



et unamtaja na bulaya,,, nani hajui bulaya yupo cdm kwa sababu ya lowassa?....

tabiri wengine, hao wawili ni ccm ndani ya cdm!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa ndiyo ilivyo.
2020 haitafanana na 2015..
Upinzani umezidi kuimarika,
Upinzani unajengwa na hii hali ya Uchumi ktk jamii kubana/kuyumba.

Siasa zetu zinaelekea kuimarika, Wapiga kura kufuata Sera badala ya kumwangalia mtu/watu.

Mzee EL, be blessed there!
 
Kabla ya Julai 2015, nilikuwa miongoni mwa Watanzania waliokuwa wakiiunga mkono Chadema. Sio kama mwanachama bali nilikuwa naafikiana nao katika harakati zao za kisiasa hususan vita dhidi ya ufisadi.
Hivi Sasa Je! Upo Upande Gani?
 
Mbona Lowasa kasaidia upinzani kupata wabunhe wengi sana 2015 labda uwe mfu ndio uwezi kuliona hilo.
Cdm walilamba dume.

Sent using Jamii Forums mobile app

Cdm hata ingesimamisha jiwe 2015 bado ingepata wabunge wengi. Kama kura zililetwa na Lowassa akiwa na miezi miwili, leo alikuwa na miaka mitatu alileta nguvu gani?
 
Sasa ndo mtaona unafiki wa dr slaa,kilichomuudhi slaa ni kuona lowasa amempokonya nafasi yake ya kugombea urais,kumbuka mwanzo siku lowasa anahamia cdm kina slaa ndo walimpokea usiku,na alionekana slaa akikenua kwa furaha,then zikapita siku mbili tatu,nadhani slaa alidhani lowasa kaja tu kuongeza nguvu,then ilipodhihirika kuwa mbowe kaamua lowasa agombee,slaa akaona kasalitiwa,
kama slaa kweli alimkimbia lowasa kwa ajili ni fisadi sasa ndo wakati wa kujua mbivu na mbichi
 
Lowasa amewakomesha Chadema maana amewaingiza gharama ya kununua dodoki na sabuni kusafisha matope waliyompaka kwa miaka 8.
 
Mimi binafsi sioni shida sana katika hili . Kisiasa ana haki ya kurudi CCM . Kule Kenya wameshazoea hali hii. Wanasiasa wa Kenya wanahama kila siku kutoka chama kimoja kwenda kingine na hali hiyo imechangia kukomaa kwa demokrasia katika nchi ya Kenya.

Tatizo ninaloliona hapa kwetu ni aina ya siasa tunàzozifanya . Tumekuwa na siasa za chuki na kubaguana sana . Ndio maana ikitokea mwanasiasa akahama kutoka upinzani na kujiunga chama kilichopo madarakani hali hii inaleta mshangao mkubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu chahali, sio Chadema tu waliovuna walichopanda. Wewe pia unavuna ulichopanda. Jinsi ulivyoshughulika 2015 kumpigania Magufuli, naamini Malipo Yake umeyapata!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyerere alipoona 80% hawataki vyama vingi akaunda vyama vingine kutoka kwa ccm wenyewe Tz hatujawahi kuwa na upinzania. KWA MCHEZO HUU WAZUNGU WAKASOME.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siri zote ,,mikakati yote ya siri mipango yenu yote ya siri siri
Yaani ukisikia mpo uchi ndio hii
Babu nywele nyeupe roho nyeupe anakwenda kutoa siri zenu zote kwa jiwe
Vikao vyote mlivyokaa nae vinakwenda kuvuja
Kiranga ....,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2020 Membe huenda akaenda cdm . Hapo tena cdm italiwa kete nyingine itakayowapeleka wajipange 2025 wakati huo mamluki maarufu atahamia chama chenye nguvu cha upinzani mapemaaaaa. Tz hatuna upinzani kwa hili WAZUNGU WAKASOME
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa ni makosa makubwa sana kumkaribisha huyu muongo mwingine mkubwa sana na fisadi aliyekubuhu.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…