Njanga Tz
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 843
- 655
Kwa mambo jinsi yanavyoenda ndani ya Ukawa na fununu zilizopo juu ya huo Muungano sina budi kusema kwamba Chadema mmeingia choo cha kike.
Nasema hivo sababu mmetumia nguvu nyingi kujenga chama na sasa chama kinafahamika mpka kule litokela kwa bibi yangu.Hakika nguvu yenu ni kubwa sana lakini kwa hali ilivyo sasa nahisi mtapoteza nguvu na uaminifu mlionao kwa watu kama mtashindwa kutoka hapa.
Mwaka huu Chadema ulikua mwaka wenu bila ukawa wala nguvu ya chama chochote kile mngechukua majimbo mengi sana na madiwani wa kumwaga. Ila kwa mtindo huu ambao mliufanya sijui bila kuangalia madhara yake ya sasa utawaangusha.
Nasema hivo sababu mmetumia nguvu nyingi kujenga chama na sasa chama kinafahamika mpka kule litokela kwa bibi yangu.Hakika nguvu yenu ni kubwa sana lakini kwa hali ilivyo sasa nahisi mtapoteza nguvu na uaminifu mlionao kwa watu kama mtashindwa kutoka hapa.
Mwaka huu Chadema ulikua mwaka wenu bila ukawa wala nguvu ya chama chochote kile mngechukua majimbo mengi sana na madiwani wa kumwaga. Ila kwa mtindo huu ambao mliufanya sijui bila kuangalia madhara yake ya sasa utawaangusha.