CHADEMA mmeingia choo cha kike

CHADEMA mmeingia choo cha kike

Njanga Tz

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2015
Posts
843
Reaction score
655
Kwa mambo jinsi yanavyoenda ndani ya Ukawa na fununu zilizopo juu ya huo Muungano sina budi kusema kwamba Chadema mmeingia choo cha kike.

Nasema hivo sababu mmetumia nguvu nyingi kujenga chama na sasa chama kinafahamika mpka kule litokela kwa bibi yangu.Hakika nguvu yenu ni kubwa sana lakini kwa hali ilivyo sasa nahisi mtapoteza nguvu na uaminifu mlionao kwa watu kama mtashindwa kutoka hapa.

Mwaka huu Chadema ulikua mwaka wenu bila ukawa wala nguvu ya chama chochote kile mngechukua majimbo mengi sana na madiwani wa kumwaga. Ila kwa mtindo huu ambao mliufanya sijui bila kuangalia madhara yake ya sasa utawaangusha.
 
Wanawake CDM pia wapo ambao wanaingia choo cha kike, wewe ulitaka waingie wapi choo cha kiume?
Kawashauli CCM wenzio sio UKAWA, huku wanajitosheleza hawaitaji msaada.
Lilieni chama chenu cha mafisadi kinachondodoka octoba 2015.
 
Mtaka yote kwa pupa, hukosa yote. Mi nadhani dhana ya upinzani kuungana ni sahihi.
 
sii kila jambo ukaona baya pia jiulize zuri lake usikosoe kila kilichotofaut na ww?jaribu kutafakar kabla
 
Hiki ni chama binafsi na mwenye chama anauwezo wakutoa maamuzi yake muda wowote, hata akuongea ndotoni tu ruzuku yote leteni hapa inaletwa.
 
Let us be serious, CHADEMA mwaka 2010 nilifunga safari kutoka mikoani kilomita 700 kuja Ubungo ili niwapigie CHADEMA kura za urais, ubunge na diwani. Nilijivunia kwa ushindi wa Boniface Jacob (diwani)na John Mnyika (MB) kwa ushindi wao maana na mimi nilishiriki, hata Dr. Slaa pia nilifurahi japo hakushinda. Mwaka huu kama watajiingiza mkenge wa UKAWA na Mgombea asiwe wa CHADEMA mimi kura zangu zote nawapa mafisi. Potelea mbali
 
Tatizo la chadema ni ukanda,ubinafsi na udini

Tuambie ni dini gani na kanda ipi pia ubinafsi upi? Naona wewe ni mtu usiyefikiria so sisi tutafikiri kwa ajili yako.mbeya kuna wabunge wa chadema mwanza,arusha,singida,na kote tz. Usifate mkumbo jtambue!
 
Mtoa mada umeandika madudu. Kumbuka Umoja ni nguvu utengano ni dhaifu.Kidole kimoja hakivunji chawa.
 
KWANI umeambiwa wananchama wa CHADEMA wamehana chama hadi uwahurumie?
 
Let us be serious, CHADEMA mwaka 2010 nilifunga safari kutoka mikoani kilomita 700 kuja Ubungo ili niwapigie CHADEMA kura za urais, ubunge na diwani. Nilijivunia kwa ushindi wa Boniface Jacob (diwani)na John Mnyika (MB) kwa ushindi wao maana na mimi nilishiriki, hata Dr. Slaa pia nilifurahi japo hakushinda. Mwaka huu kama watajiingiza mkenge wa UKAWA na Mgombea asiwe wa CHADEMA mimi kura zangu zote nawapa mafisi. Potelea mbali

Mimi pia nilitoka arusha kuja kumpigia mdee na slaa,waachane na ukawa ili mambo yasonge.
 
Jiandaeni kuucheza mziki wa chadema uliotimia.
 
Kwa mambo jinsi yanavyoenda ndani ya Ukawa na fununu zilizopo juu ya huo Muungano sina budi kusema kwamba Chadema mmeingia choo cha kike.

Nasema hivo sababu mmetumia nguvu nyingi kujenga chama na sasa chama kinafahamika mpka kule litokela kwa bibi yangu.Hakika nguvu yenu ni kubwa sana lakini kwa hali ilivyo sasa nahisi mtapoteza nguvu na uaminifu mlionao kwa watu kama mtashindwa kutoka hapa.

Mwaka huu Chadema ulikua mwaka wenu bila ukawa wala nguvu ya chama chochote kile mngechukua majimbo mengi sana na madiwani wa kumwaga. Ila kwa mtindo huu ambao mliufanya sijui bila kuangalia madhara yake ya sasa utawaangusha.
sasa wewe ccm mambo ya upinzani yanakuhusu nini? mwaka huu lazima suluali ziwashuke maana mmehangaika kweli .mara utasikia oooo sijui NCCR ,OOOO MARA CUF itakufa . sasa kama upinzani unakufa si muwaache wafe ili msipate shida?
 
Mtoa mada kwenye Biashara yoyote ukitaka kufanya vizuri basi lazima uwe RISK TAKER.Risk aversers wote wanashindwa sababu ya uwoga usiyo na sababu.Wamejaribu na wamefaidika zaidi kuliko waliojitoa.

Pole kwa CUF kama wameamua kujitoa kwani mwenye macho haambiwi tazama...
 
Naomba mnisaidie jambo moja Official campaign zinatakiwa zianze lini.Ili kujiridhisha kama muda unatosha kuwabembeleza CUF.Ama tulazimishe viongozi wetu wajitoe rasmi Ukawa.Nina wasiwasi tusije kamatwa off guard na Hawa CUF wanaweza ghafla kutangaza kujitoa.
 
Let us be serious, CHADEMA mwaka 2010 nilifunga safari kutoka mikoani kilomita 700 kuja Ubungo ili niwapigie CHADEMA kura za urais, ubunge na diwani. Nilijivunia kwa ushindi wa Boniface Jacob (diwani)na John Mnyika (MB) kwa ushindi wao maana na mimi nilishiriki, hata Dr. Slaa pia nilifurahi japo hakushinda. Mwaka huu kama watajiingiza mkenge wa UKAWA na Mgombea asiwe wa CHADEMA mimi kura zangu zote nawapa mafisi. Potelea mbali

mkuu ni bora ukawatembelee wagonjwa na yatima cku hiyo ucpige kura kuliko kuyapa majizi ya mtaa wa lumumba
 
Tuambie ni dini gani na kanda ipi pia ubinafsi upi? Naona wewe ni mtu usiyefikiria so sisi tutafikiri kwa ajili yako.mbeya kuna wabunge wa chadema mwanza,arusha,singida,na kote tz. Usifate mkumbo jtambue!

Nyerere alishasema chama kilichoka...watu waliochoka
Watu walioshindwa mabadiliko hutumia sera za udini na ukabila ili wapogiwe kura sitakosea Kama ww ni mtu wa act au ccm
 
Back
Top Bottom