CHADEMA mbona hamueleweki?

Kweli wewe ni Mwanasheria?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera mkuu, jibu lako limeshiba,sidhani kama kuna mwenye swali tena!
 
Yaani weww unataka vyama vya upinzani vijenge urafiki na vyama pinzani tu!!!Sasa huu si utakuwa urafiki wa muda mfupi tu!Mfano chama ambacho ni rafiki yako wew mpinzani,akishinda uchaguzi basi anageuka adui na yule mtawala aliyeangushwa ndio muanze urafiki,!!!;
 
Mazindu Msambule ,

..hoja ya mtoa mada ina matatizo.

..yeye anataka kutuaminisha kwamba CDM kwasababu hawapo madarakani hawapaswi kuunga mkono vyama au wagombea walioko madarakani.

..Ni kweli walimuunga mkono Nana Ado ambaye alikuwa "mpinzani" Ghana. Lakini sasa Nana Ado ni Raisi. Je CDM sasa wanatakiwa waachane naye waunge mkono wapinzani wake?

..Mtoa mada nadhani ameshindwa kuzingatia ukweli kwamba kwenye nchi za wenzetu vyama vya siasa hupokezana madaraka.
 
Mkuu, kila mpinzani analenga kuwa mtawala. Mnapaswa kupambana mtawale. Si kuwaunga mkono watawala.
 
Kinachoshangaza ni kuunga mkono chama tawala ambacho kinataka kuendelea kuongoza. Si dhambi kumuunga mkono mpinzani hata kama atakuwa mtawala. Nana alikuwa mpinzani, hakukuwa na tatizo na hata sasa hakuna tatizo urafiki ukiendelea. Si kuwaunga mkono Jubilee Mkuu.
 
haha kweli chadema imefulia kila mtu anaikana.
 
kueleweka kwa chadema siyo leo wala kesho.
 
Mkuu, kila mpinzani analenga kuwa mtawala. Mnapaswa kupambana mtawale. Si kuwaunga mkono watawala.

So siku ccm ikishindwa uchaguzi watavunja urafiki walionao na vyama vyote tawala duniani?????

JPM kuunga mkono upinzani Kenya,hii imekaaje?Kwanini asiwaunge mkono watawala wwnzake????

Huu ni upuuzi,Kwa chaguzi kama za marekani,unaweza kujikuta unabadili chama rafiki kila baada ya miaka 5!
 
Mkuu, kila mpinzani analenga kuwa mtawala. Mnapaswa kupambana mtawale. Si kuwaunga mkono watawala.

..but, what if chama cha upinzani kikishinda uchaguzi kama ilivyotokea Ghana?

..Je CDM sasa wanapaswa kuwapinga rafiki zao walioingia madarakani uchaguzi uliopita ili waporomoke na kuwa chama cha upinzani?!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…