CHADEMA Mbeya ni ‘insiders’ na ‘outsiders’

CHADEMA Mbeya ni ‘insiders’ na ‘outsiders’

Kuna tetesi pia kuwa mchumba wa dr. Slaa, mushumbusi kugombea kawe na mdee kupigwa chini

Hiyo na mm nimeickia kwa m/kiti mmoja wa mtaa anaongelea hyo habar pia nackia mpk sasa kuna mgogoro mkubwa baina ya wawili hao
 
Hiyo na mm nimeickia kwa m/kiti mmoja wa mtaa anaongelea hyo habar pia nackia mpk sasa kuna mgogoro mkubwa baina ya wawili hao

Wengi wanamashaka na Zitto hasa ukaribu wake na vigogo wa CCM - AMBAO WANAAMINIKA KUIFADHILI ACT.
 
Nimeandaa Passport na nauli za kuwa mkimbizi UK baada ya 30th Oct, 2015
 
Back
Top Bottom