Filikunjombe angetulia sasa maana kama umewafanyia kazi wana Ludewa watakupa kura bila shaka. ..
Naanza kupata mashaka na uhalisia wa maendeleo uliyoonyesha ITV ...mlianza na pingamizi na kujitangazia kupita bila kupingwa lakini NEC imemrejesha mpinzani wako.
Hivi kwa yale umeonyesha ITV utapaje wasi wasi wa kuchaguliwa tena? ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.