CHADEMA Ludewa miguu juu

CHADEMA Ludewa miguu juu

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024


IMG_7612.jpg
 
Filikunjombe angetulia sasa maana kama umewafanyia kazi wana Ludewa watakupa kura bila shaka. ..

Naanza kupata mashaka na uhalisia wa maendeleo uliyoonyesha ITV ...mlianza na pingamizi na kujitangazia kupita bila kupingwa lakini NEC imemrejesha mpinzani wako.

Hivi kwa yale umeonyesha ITV utapaje wasi wasi wa kuchaguliwa tena? ?
 
CHADEMA kwisha kabisa sasa hivi ni CCM ya Magufuli
 
Hivi mnakumbuka kutenga muda wa kuwaza maendeleo yenu? Naona yaliyopita kwa wengi yanaendelea kuwa ndwele.
 
Back
Top Bottom