CHADEMA: Lowassa mshindi kwa asilimia 61

Lekakui

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
1,451
Reaction score
590

Chanzo: Mwananchi
 
Ni Lowassa tu Maana hakuna Namna!!!!
 
Na ukawa tunategemea kupata kura 17,000,000 na zaidi
 
Tukienda kwa haki hizo 61% ndogo mno kwa LOWASSA anastahili zaidi ya 80%
VIVA UKAWA!!!
 
Nadhani wamekosea ...lowassa anashinda zaidi ya 80%
 
Waliwahi Kusema 71, Juzijuzi Wakasema 82 Leo 61! Hii Graph Inatia Shaka
 
Chama cha majambazi, kwanza jifunzeni jinsi ya kufanya sample ya kutathmini matokeo ya uchaguzi. Huwezi kufanya sample ya watu 30,000. Waulizeni mabingwa wa kufanya sample za uchaguzi. Sample haizidi watu 1000, mna wakati mgumu sana na hilo Jambazi Sugu maana mwisho wa kulamba peremende ni jumapili chijui chacha mtalamba wapi wakati Jamabazi Sugu litatokomezwa kwenda kuchunga ng'ombe kule Monduli.
 
Ni Lowassa tu Maana hakuna Namna!!!!
I confidently and proudly insisted that KANU would win and I forgot that the willing of the decision makers can surpass my Political Professorial Position.
I am hereby therefore, calling upon my friends those who are in power as well as those with utopian point of view; They should crystal clear understand that, to every thing there is a season and a time to every purpose.

WELL SAID DANIEL ARAP MOI
 
715 mbatia after 1 month 81% Mrema, then siku 2 tu 61% Munishi nadhani twaweza walikuwa sahihi kupa 22%!Viva Magufuli, jembe la uhakika, hapa kazi tu
 
Huo sio ushindi. Ni kwamba maeneo waliyoyafikia kwenye kampeni, ni 61% ya maeneo waliyotakiwa kuyafikia, sasa linganisha na maeneo waliyoyafikia CCM kwenye kampeni, hizo ndio hesabu za kweli, haya mengine matakataka tu
 
Kama kura zitapigwa kwenye mitandao ya kijamii Lowassa atashinda lakini kwenye masanduku ya kupigia kura yanayosambazwa kwa sasa, Lowassa hawezi kushinda kamwe, YATUNZENI MANENO HAYA TAREHE 27/10/2015 MNISUTE HAPA.
 
Tufanye weighted winning % kama ifuatavyo (71+61)/2 = 66%
UKAWA WATASHINDA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 66.

CHAGUA LOWASSA CHAGUA UKAWA.
 
Ni Lowassa tu Maana hakuna Namna!!!!
<br>
<p style="margin-top: 1em; margin-bottom: 1em; color: rgb(102, 102, 102); font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 16.08px;">I confidently and proudly insisted that KANU would win and I forgot that the willing of the decision makers can surpass my Political Professorial Position.</p><p style="margin-top: 1em; margin-bottom: 1em; color: rgb(102, 102, 102); font-family: helvetica, arial, sans-serif; font-size: 12px; line-height: 16.08px;">I am hereby therefore, calling upon my friends those who are in power as well as those with utopian point of view; They should crystal clear understand that, to every thing there is a season and a time to every purpose.<br><br>WELL SAID DANIEL ARAP MOI</p>
 
Lowasa alishashinda hata kabla ya kampeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…