Chama Cha ANC kili-document wale wote waliohusika kwenye kesi ya mchongo ya Mandela, kuanzia mashaidi, mawakili Hadi majaji
Wazo la kutunza kumbukumbu za waliohusika kusuka kesi hii lazima lizingatiwe na chama.
Mashahidi waliohusika kwenye kesi ya Mbowe, kina Kingai, Mahita, Kaaya, mama muuza Mbege, mze wa ballistic, lazima tutunze kumbukumbu hizo, kwenye vitabu, wanakoishi na ushaidi walioutoa.
Majaji wote kina Tingatinga, Felesi na yule mwingine wawe documented
Mawakili wote wa serikali waliohusika na hii kesi lazima tuwatunze kwenye kumbukumbu zetu kwa majina na wanakoishi.
Askari wote waliohusika na hii kesi kina Jumanne, Swira, Urio na Kingai lazima tuwa documents.
Hii itasaidia vizazi na vizazi kujua waliotenda hawa watu kwa Mbowe na wenzake.
Chadema tengeneza documents au report inayousu watu waliotumika kupindisha haki za watanzania wenzetu.