Mangimeli
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,151
- 287
Kwa matokeo haya ya uchaguzi huu wa madiwani ni ishara tosha kwamba wananchi wameamua kuzungumzia kwenye masanduku ya kura, na ni ishara tosha kwamba bado wananchi wana imani na chama kilichopo madarakani, na hata kama mapungufu yapo ni ya kurkebishika ni hayo tu!nakaribisha kupingwa!!!!!